Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Hakuna dalili nyingine ambayo sio ya kiafya?Hakuna Maumivu yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna dalili nyingine ambayo sio ya kiafya?Hakuna Maumivu yoyote
Hakuna dalili nyingine ambayo sio ya kiafya?
asante mkuu, japo siumwi popote, tumbo siumwi kabisa hata mara moja, sina homaKapime choo kikubwa.
Yawezekana Amoeba...Miongoni mwa viashiria ni kinyesi kuchanganyika na damu
Kunywa maji mengi pia huenda unapata choo kigumu sana na hivyo kutumia nguvu kukitoa mpk kinakuchana
Hiyo ni dalili ya ulcerative colitis, au bawasiri.wahi hospital ujue Nini chanjo ili upate tiba stahili
Wakuu habari, sijaweza kuuweka huu uzi/hoja huko JF doctors,
Naombeni maoni yenu, nina kama saa 46 hivi ninaona damu kwenye choo.
Wala si kuharisha, yani mwishoni mwa choo/haja kubwa, ninaona damu fresh kabisa, yani damu mbichi kabisa.
Ninahofu, naombeni msaada.
Miaka miwili mfululizo nilipimwa hospital tatu tofauti kwa nyakati tofauti tofauti na kukutikana na Hectobacter paylor, na nilikua nikipewa dawa lkini nashindwa kumaliza kutokana na dawaa kama Tinidazole kuninyima apetit ya chakula Na kinywa kuwa kichungu.
Mara ya mwisho nilipima Choo na damu katika hospitali moja na Kuambiwa sina H-pylor.
Naombeni ushauri Nikiwa nachukua hatua za kwenda hospitali kwamba.:-
Nini kinaweza pelekea mtu kuona du kama bleed kwenye choo.
Nini madhara enedelevu.
Naombeni msaada.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada,Habari yako Ndugu,
Pole sana na tatizo linalo kusumbua. Kutokana na maelezo yako ni kwamba unasumbuliwa na kutokwa kwa damu kutoka sehemu ya chini ya njia ya chakula kwa kitaalamu Lower Gastrointestinal Bleeding (LGIB)
Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha tatizo hili, nitaeleza kwa ufupi :
Kwa maelezo yako umesema hupati homa kwa hiyo tunaweza kutoa maambukizi kama sababu ingawa vipimo vinaweza kuthibitisha vinginevyo. Pia damu fresh inamaanisha damu inatoka karibu sana na njia ya haja kubwa(rectum) yaani haijasafiri kwa muda mrefu. Nakushauri ukamwone daktari bingwa wa magonjwa ya ndani na njia ya chakula(Gastroenterologist) ili afanye uchunguzi wa sababu na eneo linalotoka damu hiyo.
Magonjwa ya uvimbe(Inflammation): Uvimbe huu unaweza kusababishwa na maambukizi(infection) mfano Amoeba(amoebiasis), Typhoid(salmonellosis), Shigella(Shigellosis) au uvimbe usio wa maambukizi(Inflammatory Bowel Diseases) Saratani(Neoplasm) Kupasuka mishipa ya damu(Vascular) mfano Bawasili Uoto wa vinyama (Diverticulosis)
NB. Usitumie experience ya mtu mwingine kutibu ugonjwa wako kabla hujasibitisha kwa daktari shida hasa inayokusumbua. Maelezo haya yasitumike kama tiba kabla ya kumuona daktari bali ni kwa ajili ya kutoa elimu.
Nimekuja huku maana asubuhi hii nalalamikiwa mtu kachanika kinyeo kisa choo kigumu.ndio maana nakonda sana na kupata choo kigumu