Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda hospitali.Choo ni kilaini tu
Umeamua vizuri mkuu.Pole sana.Kesho nawahi hospital
Vipi Shida yako ya kutokwa na damu wakati kujisaidia haja kubwa umepona? Hujaleta mrejeshosawa nitafanya kama ulivyonishauri yani huwa navusha hadi siku mbili au tatu bila kupata choo me huwa naenda mpaka yakibana na pia huwa najitahidi kunywa maji mengi
No cyo kama haja kubwa inatoka na damu hapanaKuna sababu nyingi zinazosababisha kutoka damu na haja kubwa. Ikitokea usidharau lazima Union mtaalamu wa afya.
1. Haemorrhoids
2. Kuchanika kwa ngozi hasa kama unapata choo kigumu.
3. Dalili za cancer ya colon (utumbo mkubwa).
Shukhran kwa ushauri mkuuHali hiyo ishanitokea kitambo,huwa ni kupasuka kwa mishipa midogo ya damu pia minyoo ikishambulia sana utumbo inaweza sababisha kinyesi kuchanganyikana na damu na hali hiyo ilikoma yenyewe hata kabla sijaenda hospital. Haina tofauti na kutokwa damu puani. NB: Nenda hospital
You cant be serious manHabari kwa wote wakuu! Hope mpo njema
TATIZO...
Ni sku chacbe zilizopita ndo niligundua tatizo
Ni ile tu baada ya kumaliza kujisaidia haja kubwa (kunya) zile dakika za mwisho baada y kuangaza macho kwny ile sink nyeupe nilishangaa kuona imetapakaa damu y nyingi sana tena ile damu mbichi
Baada y kujichunguza kwa makini niligundua ile damu inadondoka kwa matone kutoka kwny njia y haja kubwa though sikuwa na maumivu yoyote ndio maana nilishndwa hata kuelewa ile damu ilitoka wap na nadhan bila kuichungulia ile sink hata nisingeweza kujua km nina hilo tatizo
Next time nilikuwa makn kujichungua km ile damu itatoka tena na inaanzia wap...
Soon baada y kuchuchumaa na kuanza kusukuma mzigo niliona matone ya damu yanatoka kwa kasi sana mpaka sink yote ilitapakaa damu, na hata nilipomaliza kushusha mzigo kile kitendo cha kuendelea kuchuchumaa pale kwny sinkvitome vya damu mbichi viliendelea kutoka but hakuna maumivu yoyote Yale
MSAADA...
Kabla cjafikia hatua ya kwenda hospital naamin humu ndan kuna madaktari, wataalamu kibao was afya wenye experience na changamoto tofauti za kiafya
Yoyote ambye ana experience na hili tatizo naomba aje anisaidie kunpa maelezo ya hili tatizo yan
-ugonjwa gan huu?
-chanzo?
-tiba ni nin?
Msaada plz
Kuna mshkaji wangu tunafanya naye kazi jana amekuja analalamika kuwa wakati akijisaidia haja kubwa anatokwa na damu. Sasa ameanza kupata wasiwasi kuwa anaweza kuwa na kansa ya njia ya haja kubwa.
Mimi kama mdau wa hapa ninapopaaminia naomba tumshauri huyu mshkaji wangu ili aepukane na janga hili. Yuko kwenye tension kwa kweli
Big Up Jf members kwa ushirikiano wenu
Rest in peace kijana