Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Kuna vitu vingi vidogo vidogo tunajisahau kuvichungua lakini ni muhimu sana kwa afya zetu kwa mfano
1.Kudisa/kudinda kama imepita muda hujapata ile morning erection basi kuna tatizo
2.Rangi ya mkojo
3.Rangi ya haja kubwa, ukubwa, harufu, rangi, ugumu, ulaini au hata mara ngapi unapata haja kubwa
4.Kiu
5.Njaa na hamu ya kula
6 Usingizi
7.Hamu ya Jimai
8.Kutokwa au kutotokwa na jasho
Hivi vyote vinaongea mengi kuhusu afya zetu kama tutavifuatilia kwa makini
Uko sahihi sana,mimi ninavifuatilia sana hivi vitu na imenisaidia kwa kiwango kikubwa kuwa nawahi matibabu...
 
Mimi nikijisaidia choo huwa na marenda nasumbuliwa, na maumivu upande wa kulia Chini ya mbavu nini tatizo?
 
Habari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.
 
Choo unachojisaidia ni kigumu?? Kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda jamii ya maembe na mapapai
 
Kama umejikata? Kwamba maumivu kama umejikata au rangi ya damu ni fresh hivyo unadhani umejikata?

Wanasema kama rangi ya damu ni fresh inaweza kua bawasiri ila kama ni dark red vinaweza kua vidonda vya tumbo.

Nenda hospitalI.
 
Habari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.
Kwa ushauri zaidi nenda hospital mkuu huenda kuna mishipa midogo ya pembezoni imedhurika
 
Kama umejikata? Kwamba maumivu kama umejikata au rangi ya damu ni fresh hivyo unadhani umejikata?

Wanasema kama rangi ya damu ni fresh inaweza kua bawasiri ila kama ni dark red vinaweza kua vidonda vya tumbo.

Nenda hospitalI.
Sijisikii maumivu
 
Back
Top Bottom