M12
Member
- Jan 21, 2015
- 61
- 24
Ahsante kwa ushauri kesho itabidi niende hospitalKwa ushauri zaidi nenda hospital mkuu huenda kuna mishipa midogo ya pembezoni imedhurika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa ushauri kesho itabidi niende hospitalKwa ushauri zaidi nenda hospital mkuu huenda kuna mishipa midogo ya pembezoni imedhurika
Kila la kheri ugua pole mkuuAhsante kwa ushauri kesho itabidi niende hospital
AhsanteKila la kheri ugua pole mkuu
Imenitokea sana na bado inaendelea,,Mara ya kwanza nlichanganyikiwa bahati nzur naishi na nesi nyumba moja ilibidi nimqite chooni na mke wang waje waone zigo lililotoka.mpka Leo ni mwaka wa pili cjaenda hospital wala wapi .bado inatoka tu,nldhani in kqasababu ya pilipili lkn lah.Habari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.
Fanya uende hospital piaImenitokea sana na bado inaendelea,,Mara ya kwanza nlichanganyikiwa bahati nzur naishi na nesi nyumba moja ilibidi nimqite chooni na mke wang waje waone zigo lililotoka.mpka Leo ni mwaka wa pili cjaenda hospital wala wapi .bado inatoka tu,nldhani in kqasababu ya pilipili lkn lah.
Imenitokea sana na bado inaendelea,,Mara ya kwanza nlichanganyikiwa bahati nzur naishi na nesi nyumba moja ilibidi nimqite chooni na mke wang waje waone zigo lililotoka.mpka Leo ni mwaka wa pili cjaenda hospital wala wapi .bado inatoka tu,nldhani in kqasababu ya pilipili lkn lah.
Sijawahi kula mapera mrefu sanaUnataka kutuambia atakuwa amekula mapera?
MEkwa tujue wewe ni KE a ME
Duh hatariSometimes huwa ni dalili ya Kansa.
POLE aisee sasa hausiki maumivu yoyote yale labda
Kweli mkuu kafanye endoscopy na rectal cancer.Duh hatari
Pole ni tatizo ambalo huwapata wengi sana ila sio kwamba halitibiki cha kufanya kula matunda kwa wingi sana hasa papai na parachichi na ndizi kulainisha choo unaweza pata tinidazole pia na mboga za majani kwa wingi baada ya siku 3 mpk 5 litakua limeisha pole sanaHabari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.
Sisikii maumivu ni damu tu ndo zinatokaPOLE aisee sasa hausiki maumivu yoyote yale labda
Ndugu, unapata damu siku3 hujaenda hospitali asee.Fika hospitali harakaHabari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.
Hilo tatizo kitaalamu huitwa bawasiri,usababishwa na kiuvimbe katika njia. Ya haja kubwa,kwa iyo unapopata haja asa asa ikiwa ngumu hukwaruza kauvimbe ako n utoa damu,tiba kunywa maji mengi na mboga za majani kwa wingiHabari zenu jamani mwenye kujua hili tatizo aniambie, leo siku ya tatu nikienda kujisaidia aja kubwa mara baada ya kumaliza damu zinaanza kutoa kwa muda ule ambao nipo chooni, zinatoka utafikiri nimejikata, tatizo linaweza kuwa nini mnisaidie.