Kutokwa na maziwa


dah u hv a point,wala ucjali yataisha 2 hopfully.
 
Mkuu Jaslaws..wengine hatukusema chochote kwani tayari ulikuwa ukielekea kwa daktari(kama ulivyosema in your post j5)...hopefully ulipata huduma.
 
rule out hyperprolactinaemia of any cause then u can judge ur gf.

inawezekana kutokwa maziwa bila kuwa na mimba au kunyonyesha.
 
We zombie tu;unafuga wenzio wanakula hahahahaaa amka kaka dunia ya hvo ishaisha
 
wewe siku izi tunapeana ushauri wa kijinga ili tufe weng man kama demu anakudanganya we tulia mungu atakuonyesha njia ukisema umbwage huyo utaemuokota ndo atakudatisha utaenda omba ushauri tweeter ma bro take her to hosp maziwa kutoka ni normal bleed tu hiyo chezea kahaba wewe!!!!!!!!!!!!
 
No hizo ni hormones tu ninakuhakikishia i knw such cases very well wengine anapofikisha 16 unakuta yanaanza nothing to worry about, kwa ushauri zaidi muone daktari
Hapo wewe nfio umetoa jibu ya hl tatizo. Mm bnt yangu ni 20 yrs old a student sns hili tatizo anepima vipimo vyote mpaka mri na kuna dawa kaandikiwa kwani kuna kipimo kiki juu sana hivyo daws hizo zinamsaidia. Wala hana mimba. Dr. Kasema huenda asipate ujauzito. Hivyo tusaidiane kwsni ni tstizo kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…