Hivi mtoto wako akikuuliza hili swali sijui utamfanyaje? Maana kwa umri wako kama hujui hicho kitu utakuwa na walakini kwenye makuzi.
Ndio walewale wanafunzi wa IFM waliandamana eti kuna watu wanaingia hostel zao na kuwalawiti...
huyu dogo hasomi, elimu ya jinsia inaanza darasa la tano (kwa sie tuliosoma miaka ya mwanzo ya themanini) naskia siku hizi kutokana na HIV inaanza mapema zaidi, na kwenye sayansi darasa la sita pia kuna elimu ya mfumo wa uzazi
this kid hajasoma au ndio wale wa division five... ndio maana nimemuomba asprin amlee kiseminari maana kwa ilmu duniya dogo ana zero
ukiona mtu anaulizwa una nyege za rangi gani, ujue huyo mtu ni kiazi
Tatizo langu me ninapolala 2 ucku huwa nikaamka asubuhi huwa najikuta nimetokwa na nyege ss ila tendo me silipendi ss nilikua naomba uxhauri nifanye nn ili kisinitokee tena hicho ti2
Me mvulana 20
Kaka izo zarau sasaVaa marlboro ile kuubwa bila pichu. ukiamka mambo yatakuwa safi tu. Shida si una pichu moja na ukiamka imechafuka na hizo nyege? Fua tu hiyo marlboro anika nje na ishara kuwa isitumiwe na mtu kwani ina kazi maalum jioni. Unavaa pichu yako unaenda shule.
Ukikua tu, hutaona tena taabu yako hiyo. Pole sana huo si ugonjwa
Kaka izo zarau sasa
Tatizo langu me ninapolala 2 ucku huwa nikaamka asubuhi huwa najikuta nimetokwa na nyege ss ila tendo me silipendi ss nilikua naomba uxhauri nifanye nn ili kisinitokee tena hicho ti2
Oh kumbe mvulana, vuta subira, utakapokuwa mwanaume nyege hazitakutoka tena.
Fafanua vizuri kutokwa na nyege ndo nini..???
Me mvulana 20