Sefet
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 476
- 191
Hivi mtoto wako akikuuliza hili swali sijui utamfanyaje? Maana kwa umri wako kama hujui hicho kitu utakuwa na walakini kwenye makuzi.
Ndio walewale wanafunzi wa IFM waliandamana eti kuna watu wanaingia hostel zao na kuwalawiti...
Sasa mnyepe mpe kwanza elimu kijana ndipo lawama zifuate baadae. Wanaijeria wanasema "Chase the wildcat first then blame the hen for wondering in the bush".
Last edited by a moderator: