OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 113
- 172
Ikiwa mbegu za uzazi zitatoka kwenye uume wakati wa kujisaidia haja kubwa, inamaanisha kuna udhaifu kwenye tezi ya kiume "prostate''.
Hii ni kwasababu ukanda wa pembeni wa tezi dume (peripheral zone of prostate)' uko karibu na sehemu ya puru ya haja kubwa, kwa hivyo unaposukuma kwa nguvu wakati wa kutoa haja, huongeza shinikizo ya ziada na kugusa ukanda wa tezi dume ambapo husababisha kutokwa na shahawa kwenye uume ikiwa tezi hiyo ni dhaifu.
Chukua hatua kama unapatwa na dalili hizo:
Hii ni kwasababu ukanda wa pembeni wa tezi dume (peripheral zone of prostate)' uko karibu na sehemu ya puru ya haja kubwa, kwa hivyo unaposukuma kwa nguvu wakati wa kutoa haja, huongeza shinikizo ya ziada na kugusa ukanda wa tezi dume ambapo husababisha kutokwa na shahawa kwenye uume ikiwa tezi hiyo ni dhaifu.
Chukua hatua kama unapatwa na dalili hizo: