Mimi nina tatizo la kutokwa na uchafu mweupe wenye muwasho ni mwaka wa 12 sasa toka tatizo hili linipate nimesha hudhuria hosptal, nimetumia dawa nying sana sindano ndo usiseme lakini huo uchafu bado unatoka japokuwa ulikuwa mzito sana lakini sasa umekuwa mwepesi kama maziwa fresh vile na siwashwi tena ila tatizo ni huo uchafu unaotoka kwa yeyote anayejua tima tafadhali anijuze kwasababu mapajani nina rangi nyeusi mpaka imejichora kabisa inajionyesha ilikoanzi mpaka inakoishia.
*kwanza nikupongeze kwa kufunguka hapa. wanawake wengi wanamatatizo haya na wamekaa kimya ndani mwao wanaugulia ndani,hii ni shida kwa wanawake ni wengi si wewe tuu., thanks kwa kufunguka coz hata wake zetu/wachumba watatoa maoni yao hapa. shida nayoiona hapa nio wengi -kutokufahamu, lakini wao wanajitia kufahamu,ukimwelekeza anakuambia -"najua" na hawafanyi "culture" kujua hasa tatizo liko wap? au limeanzia wap? ndani au nje? kuna matatizo mengine yanaanzia katika damu-ndani ya mwili,lazima utibu ndani kwanza kabla ya nje. hali husababishwa na yafuatayo
*kuvaa nguo za ndani chafu
*kutokujisafisha baada kumaliza tendo la ndoa
*u.t.i
*kuchanganya mapenzi mojakwamoja kwa mwanaume kutoka nyuma(sodoma) kwenda mbele-na hii ndo mbaya sana.bila kinga au kubadilisha kinga. na uchafu wote wa haja kubwa kuuleta mbele(ukeni).
*magonjwa ya zinaa ya mda mrefu
*kutokujisafisha baada ya hedhi/au utoaji mimba/kujifungua
*magonjwa mengine ya kuridhi/au kuambukizwa au yaliyoingia kutokana kujisafisha -aidha maji hayakuwa salama
*kutumia dawa za pharmacy bila ushauri wa dk. kuongeza sumu katika mwili
*kabla ya kukimbilia pharmacy kwa akina dada kununua cream onana na dk. akufanyie culture- ujue tatizo ni nini wengi mnaulizana na mashosti eti nitumie nn? kwann usiende kwa dk? "culture" ni gharama lakini ni rahisi zaidi ya kutokupata watoto,zaidi ya cancer ya kizazi,zaidi ya kifo.
*nije kwa tatizo lako hapo juu. sababu ni ushauri nitatoe ili tusaidiane. mama watoto, aliwahi kuwa na shida kama yako ilikuwa tukimaliza tuu tendo la ndoa kunatoka uchafu mweupe,unaoendana na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa, baadae fungus zilizidi hadi zikamletea michirizi na kukawa kweusi sana.na hali ikawa mbaya sana. lakini usikate tamaa
*nilikosa amani sana-maana yule ndo mama wa watoto, hadi nilipokutana na natural antibiotic yenyewe inasafisha sumu ndani ya mwili-ziko mbili nakumbuka wife alitumia,na sabuni inayotokana na asali ya nyuki wadogo,na tube mbili zinazotokana na mimea ya asili unachanganya na kupaka. alitumia kwa mda wa siku 30. tukajua hatapona maana hata dalili ya kupona hatukuona. lakini wiki ya tano mambo yalianza badilika kutoka uchafu na maumivu vilikata, baadae uweusi na michirizi ya fungus kidogo kidogo viliisha.alituambia izo sio chemicals na mimea ya asali ivo inafanya kazi taratibu. na kweli alipona wife mpaka leo.
*yule bwana alietupatia nilimsave dawa jina simkumbuki-0765 377 506- mcheki bado unahitaji msaada anaweza kukusaidia.pole sana.
***jioni njema***