Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Siku yake imefika na mbakaji ana kosa sababu amekuwa sababu ya kifo cha mtoto husika.
Sasa kama Mungu alipanga sababu ya huyo mtoto kufa ni lazima aje abakwe kisha auliwe, je mbakaji aliweza kuepuka kutobaka na kuua?
 
Ndio maana nikasema hivi hao kufa kwao siku hiyo hiyo ndio ilikuwa haki yao na stahiki yao.

Kwahiyo ilipangwa wakizaliwa tu wafe ndio maana wamekufa.

Mungu ndio anakuwa ametaka iwe hivyo ndio maana imekuwa. Kijana mngemjua kwanza huyu Mungu msingekuwa mnauliza maswali ya kitoto namna hii.
Bado Mungu anayeua watoto wachanga wasiojua baya wala jema, ataendelea kuhesabika kuwa ni Mungu mwenye upendo wote?
 
Amekwambia nani ? Unapo muadhibu mwanao baada ya kukosea (hapa napo Kuna uhuru) huwa anakuwa hayuko huru ? Huwezi kuutenganisha uhuru na kupatia au kukosea.

Kijana hata hili dogo linakushinda kuling'amua ?
Ukimuadhibu mwanao ni ishara kuwa hayupo huru.

Yupo chini ya sheria ambayo umemuwekea, sheria iliyo ambatana na adhabu pale anapokiuka hizo sheria.

Uhuru hauna mipaka.

Penye mipaka hapana uhuru.
 
Ndio maana hata wewe Leo hii unamkana aliye kuumba na anakupa pumzi, huu ndio uhuru kamili sasa.
Sipo huru kwasababu amesema wanaompinga wataenda motoni.

Inawezekana kabisa hata wewe unngekuwa una mpinga ila kilichofanya ushindwe, ni kuogopa adhabu siku ya mwisho.

Pengine unaishi kwa unafki ili tu uwe salama siku ya mwisho.
 
Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?

[emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116].

Famous People Who Mocked God

Here are the top 5 influential people who famously mocked god and ended up dead

1. John Lennon (The Beatles)

John Lennon was a British legendary who co-founded the British invasion band called ‘The Beatles‘ in the 1960s. Lennon and co-writer Paul McCartney wrote hundreds of songs together along with George Harrison and Ringo Star, and together they remained at the top of the list for nearly a decade. The ladies were especially head over heels in love with John Lennon.

Some years ago, during his interview with an American Magazine, Lennon had said: “Christianity will end, it will disappear. I do not have to argue about that. I am certain. Jesus was okay, but his subjects were too simple, today we are more famous than Him” (1966).

His remark led to an outrage among his fans and triggered a protest rally, people thought he mocked God, where people expressed their anger by setting their vinyl records and The Beatles’ posters afire. In 1970, The Beatles disbanded.



On the 8th of December 1980, Lennon was shot six times in his head by one of his fanatics in front of his house and died on the spot. Interesting fact, he kind of did predict how he would die. Now, that’s spooky!

2. Marilyn Monroe (Hollywood Celebrity)

She had the perfect life that anyone could ever dream of; a remarkable amount of wealth and great fame, and she was astoundingly beautiful.



One day during filming, she was visited by Billy Graham during a presentation of a show. He said the Spirit of God had sent him to preach to her. After hearing what the Preacher had to say, she said: ‘I don’t need your Jesus’. A week later, she was found dead in her bedroom.

The most accepted theory suggested she was suffering from depression and committed suicide. In fact, it was actually the right time for her to seek God but she mocked God.

3. Thomas Andrews (Titanic Shipbuilder)

[https://icytales]By Everett Collection/ Shutterstock

Thomas Andrews was inspired to build a ship that would be legendary during his time. After the construction of the mighty Titanic, a British luxury liner, a reporter asked him how safe the Titanic would be. With an ironic tone, he said, ”Even God himself couldn’t sink the ship”.

The result: I think you all know what happened to the Titanic.

[https://icytales]Icy Media

4. Tancredo Neves (President of Brazil)

During his Presidential campaign, he said if he got 500,000 votes from his party, not even God would remove him from Presidency.

Sure, he got the votes, but the unfortunate fella got sick a day before he was made President and died.

5. Bon Scott (AC/DC Former Vocalist)

[https://icytales]By loudersound.com

Scott in his golden days with AC/DC since 1974 had replaced Dave Evans as the vocalist of the band. On one of his 1979 songs he sang: ‘Don’t stop me; I’m going down all the way, down the highway to hell’.

A year later, Scott was found dead on 19 February 1980; he choked on his own vomit.

Humans can only come up with theories, but God alone knows the true reasons for their death.
Ni ujinga
 
Hakuna Mungu/mungu kwa maana ya sifa na tabia mlizozianisha kwenye vile vitabu vyenu.

Hakuna Mungu/mungu kwa aina ya vitisho mnavyowatishia watu

Hakuna Mungu/mungu kwa sababu sababu Hana athari kwenye maisha yako wewe, vizazi vyako na Taifa kwa ujumla.

Ndio maana ikaiwa Imani tu
Amka mapema before it is to let
 
Hivi huku duniani kuna ambao wanamuani Mungu? Kivipi na kila siku kuna mauaji, usinzi, uongo, utapeli na dhuluma tena vinavyanywa na kufurahiwa na watu wale wale ambao kila siku wapo misikitini na makanisani tena wengine ni viongozi wakubwa kwenye dini hizo
Unaweza kuwa mkristo lakini ukashindwa kufuata ukristo.
 
Crusades (1050 - 1300), Inquisition (12th to 13th century), ISIS, Al-Shabaab, Boko Haram, Wakatoliki na Waprotstanti wa Northern Ireland, Wahindu na Waislamu wa India. Hao wote wamefanya unyama wa ajabu dhidi ya binadamu kwa kutumia jina la Mungu.
Unatakiwa kujua kuna Watu wanatumia dini kwa manufaa yao binafsi.ingawa wenyewe wanaweza wasifuate mafundisho ya dini zao.
 
Sipo huru kwasababu amesema wanaompinga wataenda motoni.

Inawezekana kabisa hata wewe unngekuwa una mpinga ila kilichofanya ushindwe, ni kuogopa adhabu siku ya mwisho.

Pengine unaishi kwa unafki ili tu uwe salama siku ya mwisho.
Sikia Mungu wa kweli kanuni yake ni usafi,Mbingu yake kanuni yake ni usafi.sasa wewe ukiwa na akili timamu umechagua upande wa machukizo/uchafu.inamaana wewe sio wa upande wake.kwa hiyo kinachokuhukumu ni uchaguzi wako sio yeye.Kwa sababu kuna pande mbili
 
Sikia Mungu wa kweli kanuni yake ni usafi,Mbingu yake kanuni yake ni usafi.sasa wewe ukiwa na akili timamu umechagua upande wa machukizo/uchafu.inamaana wewe sio wa upande wake.kwa hiyo kinachokuhukumu ni uchaguzi wako sio yeye.Kwa sababu kuna pande mbili
Kama kanuni yake ni usafi, iweje kazi zake ziwe chafu?

Hayo machukizo ni sehemu ya kazi yake maana yeye ndio aliumba ulimwengu huu wenye kuruhusu huo uchafu uwepo.
 
Mimi adi leo hii najiuliza sn hili swali hivi n kweli mungu yupo??
Km yupo mbna hakuna miujiza yyte tunaeza kupata

kama hayupo ni nani alitutengenezea huu mfumo mzima wa maisha tunayoishi adi leo hii

Ukiskiliza story za zamani eti mitume ulikua inafnya vitu na kufanikiwa kwa akili za uzima kabisa ukiwaza vyema unaona huu n utapeli n uongo ambao hauwezekan

Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
 
Mantiki yako ya kunikosoa maana ya uzembe ina lengo la kuthibitisha au kubadili nini kwenye hoja yangu?

Kwamba uzembe ni neno lenye maana ambayo ni positive na hivyo nimepotosha kulitumia kumuelezea negative Mungu?

Au ni sahihi kuwa neno hilo la uzembe haliwakilishi positive thing na hata ukikosoa kwa kuweka maana sahihi, halitaweza kuonesha ubora wa kitu?
Ni kuthibitisha ya kuwa umekosea katika kujenga hoja, yaani uliye mkusudia hana sifa hiyo kabisa Wala hakuwahi kuwa nayo.

Kwahiyo umeandika uongo na hakuna maana ya uzembe ya hivyo.
 
Kama kila kitu kimepangiliwa na kinatokea kwasababu, maana yake hatuna uchaguzi. Tunafanya kile tulichoamuliwa tufanye.

Kama kila kitu kimepangiliwa na hutokea kwa sababu maalumu, kwanini kuwe na adhabu siku ya mwisho?

Kama kila kitu kimepangilia ni ipi nafasi ya kumlaumu binadamu kwa kufanya ndivyo sivyo?
Swali ni kweli huna uchaguzi ? Kwanini unafanya zuri na unafanya baya na Kuna muda una ghairi ?

Mipango ya Allah haikuzuii wewe kufanya unachotaka ndio maana unafanya.

Adhabu ipo sababu umepewa akili, utashi na matamanio, na Kuna wakati ukifikiria unaona kabisa hatima ya jambo unalo fanya kwa maana ukifanya ubaya ujue umechagua ubaya na kwanini ufanye ubaya na wema upo ? Huu ndio uhuru kamili.
 
Huko juu umesema kila kitu kimepangiliwa na kinafanyika kwasababu maalumu.

Kama kila kitu kimepangiliwa na kinafanyika kwasababu maalumu, huoni njia yeyeto atayopita binadamu ni sehemu ya mipangilio aliyowekewa na Mungu?
Ambayo inaendana sambamba na uhuru na matashi yako mwanadamu.
 
Mungu alimuumba Adam kwa udongo.

Udongo alioutoa ardhini hapa duniani.

Sisi wote ni zao la Adam.

That means sisi asili yetu ni ulimwengu kupitia udongo.

Sasa ikiwa kama kweli akili yangu ina udhaifu, huoni nafasi ya ulimwengu kuwa na udhaifu pia kwasababu uli-generate udongo ambao ulitumika kuumba viumbe ambavyo vikizaliana miongoni mwao kuna viumbe vitakuwa na akili dhaifu?
Nani amekwambia udongo ulio tumika kuumbiwa Adam ulitokea ardhini ?

Sisi sio asili yetu Ulimwengu kupitia udongo, hiI habari wewe umezipata wapi ?

Mwanadamu ndio dhaifu, unaposema ulimwengu kuwa dhaifu kivipi ?
 
Natumia empathy kupima ubaya au uzuri wa kitu

Kufa ndio nikitu kibaya na ndio maana ukiugua unaenda hospitalini kutibiwa ili usife.

Hauwezi kufurahia mwanao augue ili afe akamuone Allah.

Kufa ni kubaya na ndio maana hata modern Mosque ina fire extinguisher, emergency alarm nk.

Wanafanya hayo yote kwasababu watu hawapendi kufa, hivyo kifo kitokee tu kwasababu ni nje ya uwezo wao, watu wameshindwa kukidhibiti ila caution zote zilichukuliwa.

Kifo ni kibaya ndio maana unafanya kila kitu kuhakikisha unazuia mianya yote inayoweza kukuweka kwenye hatari ya kuweza kufa.

Kifo ni kibaya na ndio maana hauwezi kucheka au kufurahishwa na taarifa ya kifo cha mtu uliyekuwa unampenda sana.
Hilo ndio kosa. Unatumiaje kitu dhaifu kujua ubaya na uzuri ? Lazima ukosee.

Unaweza kufa bila kuumwa, na unaweza kwenda kutibiwa na ukafa.

Hizo nita hadhari na hilo ni jambo la kimaumbile, sababu hakuna ane weza kuzuia kufa, hizo fire extinguisher hazipo kwa lengo hilo unalo dai wewe bali kwa lengo la kuilinda mali zisiharibike endapo uharibifu ukitokea.

Huzuni huja si tu kwa kufiwa bali kwa mambo mengi, ili ufikie lengo la kuumbwa kwako, lazima ufe na kifo ni haki na ni hatua.

Bado hujaonyesha hakika ya ubaya wa kifo zaidi ya kuelezea hisia zako za ndani.
 
Swali ni kweli huna uchaguzi ? Kwanini unafanya zuri na unafanya baya na Kuna muda una ghairi ?
Kisai usijenge hoja zako kwa kudanganya
Kwenye uislam hakuna uchaguzi kila unalofanya Allah kasha kupangia huna chochote unaweza Fanya kubadili , tena anakuadhibu kwa kufanya aliyokupangia utafanya

Soma ichi kisa

Allah kampangia na akachinjwa kwa sababu Allah kampangia atakuwa kafir

  • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
    • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
 
Swali ni kweli huna uchaguzi ? Kwanini unafanya zuri na unafanya baya na Kuna muda una ghairi ?
Kisai nakutaka ujifunze dini Yako kwa umakini , unakuwa unampinga Allah na Muhammad wazi kabisa na unajua Aya ya 5:33 inataja ukatwe mikono na miguu

Allah anakupangia kila kitu mpaka uzinzi utakao fanya na utafanya na nani na wapi ,
Soma
...Allah fixed the very portion of adultery which a man will indulge in. There would be no escape from it.....Sahih Muslim 2658a
 
Swali ni kweli huna uchaguzi ? Kwanini unafanya zuri na unafanya baya na Kuna muda una ghairi ?
....Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c


Kama Allah kashakuumba wewe ni WA motoni , free will ya kuchagua peponi unaitoa wapi?
 
Ambayo inaendana sambamba na uhuru na matashi yako mwanadamu.
Hakuna uhuru acha kudanganya

Soma
Malaika anakuandikia ukiwa tumboni mambo ma 4 embu yataje

Allah's Messenger (ﷺ), the truthful and truly-inspired, said, "Each one of you collected in the womb of his mother for forty days, and then turns into a clot for an equal period (of forty days) and turns into a piece of flesh for a similar period (of forty days) and then Allah sends an angel and orders him to write four things, i.e., his provision, his age, and whether he will be of the wretched or the blessed....Sahih al-Bukhari 6594
 
Back
Top Bottom