Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Ambayo inaendana sambamba na uhuru na matashi yako mwanadamu.
Sahih muslim Book 33, Number 6409: Allah alimpangia adamu kufanya dhambi , alafu akamuadhibu kwa kufanya dhambi aliyompangia atafanya
Abu Huraira reported Allah's Messenger as saying: There was argument between Adam and Moses. ..... Adam said to him: ..... Despite this you blame me for an act which Allah had ordained for me forty years before He created me............
 
Mungu ni mwongozo na ujio wa maarifa kwa mwanadamu,binadamu yeyote asiye ishi chini ya hofu ya Mungu,huyo hana tofauti na mnyama.
Matendo yote mabaya huja pole mwanadamu anapo kataa uwepo wa Mungu.ndio maana watu wanaoano wa jinsia moja,ndio maana watu wana sagana ,ndio maana watu wanafukuana mitaro,ndio maana watu wana baka,watu wanadhulumu,wanaua pasipo hofu,na mengine yote mabaya huyatenda pasipo hofu kabisa,mana vichwani mwao walisha jijengea hoja ya kuwa there is no God,but God is there,ukubali ukatae haiondoi uwepo wake
 
Ukimuadhibu mwanao ni ishara kuwa hayupo huru.

Yupo chini ya sheria ambayo umemuwekea, sheria iliyo ambatana na adhabu pale anapokiuka hizo sheria.

Uhuru hauna mipaka.

Penye mipaka hapana uhuru.
Unamuadhibu mwanao baada ya kufanya nini kwake ?

Uhuru lazima uwe na mipaka, uhuru usio na mipaka ni utumwa wa kujitakia bali ni uwendawazimu.
 
Kwa jinsi nlivyokuelewa ww huzungumzii kumuamin Mungu ila ww unazungumzia kuamin Mungu wa biblia na Mungu kwa quran
Ila ukwel ni kwamba Mungu yupo na Mungu kla mtu anamdefine kulingana na mazingira yake

Mfano wahindi na wachina kwa idadi yao ni zaid ya 3 billion ila ktk hao 3 billio wana Mungu wao ila sio uyo wa biblia na quran kwa wahind weng ni hinduism na ktk hinduism kuna zaid ya Miungu 4
Na kwa wachine weng wao huabudu budhaism na wao wana Mungu wao wanaomwabudi

Kwaiyo hao watu billion zaid ya3 je unazan wataenda motoni kisa hawamwambini Mungu wa biblia na quran

Mungu yuko na kla mtu anamdefine kulingana na mazingira yake
 
Kisai usijenge hoja zako kwa kudanganya
Kwenye uislam hakuna uchaguzi kila unalofanya Allah kasha kupangia huna chochote unaweza Fanya kubadili , tena anakuadhibu kwa kufanya aliyokupangia utafanya

Soma ichi kisa

Allah kampangia na akachinjwa kwa sababu Allah kampangia atakuwa kafir

  • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
    • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
Huwa nakupuuza sababu unapenda kubadili maana ya maandiko.

Hapa kwanza nitakuuliza swali, hii aya anayeongea hapo au kunukuliwa ni nani ?
 
Kisai nakutaka ujifunze dini Yako kwa umakini , unakuwa unampinga Allah na Muhammad wazi kabisa na unajua Aya ya 5:33 inataja ukatwe mikono na miguu

Allah anakupangia kila kitu mpaka uzinzi utakao fanya na utafanya na nani na wapi ,
Soma
...Allah fixed the very portion of adultery which a man will indulge in. There would be no escape from it.....Sahih Muslim 2658a
Sasa hao wanapewa hiyo adhabu baada y kukataa kufanya wema na yenye manufaa kwao kwa hiari yao, ndio maana wanapewa adhabu hizo.

Allah anakupangia ila hakulazimishi, kwa maana mpango wa Allah kwako una uhuru ndani yake.
 
....Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c


Kama Allah kashakuumba wewe ni WA motoni , free will ya kuchagua peponi unaitoa wapi?
Wewe unajuaje kama ni WA motoni ? Allah anajua wewe ni WA motoni na fulani wa peponi kwa elimu yake na ukubwa wake, na sisi hatujui ni WA peponi au motoni. Kwanini tusifanye mambo ya watu wa peponi tukapata pepo na uhuru tuko nao ?

Ukichagua matendo ya motoni, Allah anakuacha uelekee huko huko ulipo chagua.
 
Huwa nakupuuza sababu unapenda kubadili maana ya maandiko.

Hapa kwanza nitakuuliza swali, hii aya anayeongea hapo au kunukuliwa ni nani ?
Issue ni kwamba najua wazi kingereza kwako ni hujui
Tafuta mtu akusomee na akueleweshe


  • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
 
Sasa hao wanapewa hiyo adhabu baada y kukataa kufanya wema na yenye manufaa kwao kwa hiari yao, ndio maana wanapewa adhabu hizo.

Allah anakupangia ila hakulazimishi, kwa maana mpango wa Allah kwako una uhuru ndani yake.
Shida kubwa kwako ni kingereza, tafuta mtu akusomee na akueleweshe

Allah anakupangia kila kitu mpaka uzinzi utakao fanya na utafanya na nani na wapi ,
Soma
...Allah fixed the very portion of adultery which a man will indulge in. There would be no escape from it.....Sahih Muslim 2658a
 
Wewe unajuaje kama ni WA motoni ? Allah anajua wewe ni WA motoni na fulani wa peponi kwa elimu yake na ukubwa wake, na sisi hatujui ni WA peponi au motoni. Kwanini tusifanye mambo ya watu wa peponi tukapata pepo na uhuru tuko nao ?

Ukichagua matendo ya motoni, Allah anakuacha uelekee huko huko ulipo chagua.
Shida kubwa kwako ni kingereza tafuta mtu akusomee na akueleweshe

....Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
 
Kila mtu anaamini uwepo WA nguvu ya asili inayoongoza ulimwengu

Nguvu hiyo ya asili ndiyo ilifanya, unafanya, na itafanya Kila kitu kiwe

Nguvu hiyo ya asili imepewa majina tofauti tofauti na wengine kuigawa ktk makundi tofauti tofauti.

Manabu zetu waliita mizimu ,na dini kutoka mashariki ya wao wakaziita Mungu.

Duniani hayupo asiyeamini juu ya uwepo huu, isipokuwa tunawaita wapagani wale tu wasiomini tunachokiamini Kwa kuwa nasi ni pagans Kwa kile tusichokiamini kuhusu wao.

Nguvu hii ya asili ndiyo imetawala mifumo mizima ya maisha yetu na shughuri zetu,

Ni ngumu sana kupata majibu sahihi ukiuliza kama Mungu yupo au la?
Kwanza ni Mungu yupi, wako au wangu , naweza kusema duniani hakuna Mungu mwingine isipokuwa wangu. Kwakuwa ndiye najua ni nguvu ipi naiamini kuwa ndiyo nguvu inayofanya Kila kitu kiwe.
Kwa hiyo Mungu WA kweli yule unaeamini wewe yupo, sio unaeminishwa yupo, kama utaamini kwenye mizimu, basi misingi na Sheria za maisha yako zipo huko, vile vile Kwa dini zingine.

Linapokuja swala la uumbaji ndipo unakuja ubishano Mungu ni nani, na tuna miungu wangapi, India Wana Mungu wao, china Wana Mungu wao wakristo na waisilamu hivyo hivyo. Sasa swali ni Kwa kwamba licha ya kuwa na miungu mwingi duniani n inaweza kana vipi wote wawe na creation ya binadamu inayofanana

Je, Mungu ni mmoja ila dini tofauti??
na kama hivo vipi kuhusu India Kwa wabudha na wahindu, vipi kuhusu china, vipi kuhusu ukristo na uislamu kuwa na mitume tofauti?

sasa Mungu ni yupi?
ukweli ni kwamba katika mataifa ambayo yamekuwa na dini Toka zamani ndo mataifa yenye utajiri kiliko mataifa yaliyoletewa dini(Afrika).
Mungu ni yupi?

Mungu wako utamjua tu pale ambapo huhitaji kitu chochote kile iwe fedha chakula, nyumban n.k. Kwa wengi tunatafuta miungu pale tunapokuwa na shida. Utaenda huku na huku ili upate msaada.
Je, kusingukwa na jehanamu, wangapi wangeamini Mungu yupo (Afrika)

je kusingekuwa na taabu, njaa, magonjwa, na vifo wangapi mngemjua Mungu?

sasa kama mmemjua Mungu kupitia shida, Mungu wenu ni yupi?
(.....)
 
Watu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.

Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka
Mbona Tanzania tangu imeukuwepo imekuwa ikiongozwa na watu wa dini ila kina ufisadi, wizi, uzembe, ubambikiaji kesi na dhuluma??
 
Back
Top Bottom