True Believer
JF-Expert Member
- Mar 6, 2019
- 586
- 886
- Thread starter
-
- #61
Sio kama aamini, ila hapendi kudhihilisha hilo mbele yetu.Mzee umemkosea sana mungu sema kuna sehemu mnafeli maombi yanaitaji mtu uwe msafi kiroho sasa wew Msela nondo ni ngumu kuamini kwanza ndio unaweza nguvu za mungu au kunyakati hujazifikia [emoji51] wew ishi ila [emoji16][emoji16] Kuna siku anaweza kukuaminisha yupo
Unajua mpaka mda huu mm bdo naona kama ni Jokes tu, kwani wapi seriously au mm ndo sielewBahati mbaya mliyonayo Mungu Alisha jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni maandiko tu
Wajinga hawawezi kuisha hapa duniani hata kama Leo hii Mungu atajifunua kwenu na mkaamini kuwa yupo believe me miaka 200 ijaya watatokea tena wajinga kama nyinyi watasema hakuna Mungu
Nafkiri huna vitabu vya kutosha kichwani kwako kumuhusu yeye SUPER NATURE. Kasome kwanza ndo uje vizuri na Matusi mazuri kama haya.Alijifunua kwa nani?
Babu mzaa Babu yako?
Bibi kizaa bibi yako?
Au Mwanaume aliyemzaa Babu aliyemzaa Babu wa Babu yako?
Sasa wewe mwerevu ulijuaje kwamba huyo ni Mungu/mungu?
Naunga mkono hoja[emoji3578]Pagani asikutese. Hata hivyo mafundisho ya dini yanasema TUPENDANE. Hayajasema tuwapende wa imani zetu tu, kwa hiyo ni tuvumiliane.
Yaah na ndo maana wanabarikiwa katika baadhi ya mambo, MUNGU YUPO.Mbona hata wazungu wanaamini uwepo wa Mungu na dini ndio imeshape maisha na maendeleo Yao.
Soma historia ya wazungu utayakuta haya.
Halafu nani kakuambia Mwafrika anaijua dini wengi wanashika dini na Sio wanaijua dini.
Unaposema dini una maanisha positivity.
Halafu tambua Kuna God na Gods ni nguvu mbili tofaut.
Mungu ni mmoja na miungu ipo zaidi ya hio elf 3.
Mwafrika angeijua dini asingekuwa masikini.
So sadKama yupo basi ye ndio kanikosea sana kwanini ajifiche?
Kwanini kutimiza majukumu yake ya msingi ni mpaka mimi nimuombe tena kwa kujitesa sometimes anataka nikae na njaa (nifunge)
Na hata ukifanya hayo yote bado hakuna kitu anafanya
Morroco watu wanakufa kwa sababu yake, aliumba ulimwengu mbovu wenye kuruhusu matetemeko yanayoua maelfu bila hatia.
Mungu huyu anayeona hayo yote yanayoendelea huko Morroco bado tena anahitaji ukumbushwa ndio afanye kitu, na still hata ukimkumbusha bado ni kazi bure hawezi kufanya chochote.
Ni Mungu ambaye kama yupo basi anatakiwa kutuomba msamaha wa magoti na mchozi.
Kwani unaamuamini MUNGU au viongozi wa DINI, tambua wale ni watu kama wewe na wana mapungufu pia(their not Angels)Hivi huku duniani kuna ambao wanamuani Mungu? Kivipi na kila siku kuna mauaji, usinzi, uongo, utapeli na dhuluma tena vinavyanywa na kufurahiwa na watu wale wale ambao kila siku wapo misikitini na makanisani tena wengine ni viongozi wakubwa kwenye dini hizo
Samahani mkuu, hoja zako bado ni dhaifu sana. Katika vitabu vifuatavyo ukiachana na hiko kimoja umesoma kipi ?? Pengine imani yako ni ndogo juu yake kutokana umemsoma kwenye kurasa chache:Unajua upendo haulazimishwi lakini dini zinalazimisha waumini wake kumpenda Mungu kwasababu wamewekewa hofu kuwa kwa wasiomuamini wataenda kuzimu.
“Mungu ni upendo” (1 Yohana 4:8)
Hapo Biblia inatueleza kuwa Mungu ni upendo. Kwanini Mungu mwenye upendo alitengeneza kuzimu? Akawapa binadamu free will akijua fika wapo watakaobisha uwepo wake. Mungu pamoja na uwezo wake wote akaruhusu binadamu wateseke.
Kwanini Mungu anataka kuombwa, kutukuzwa, kusifiwa? Alituumba kwanini hakufanya tumjue yeye bila kupitia dini maana kila dini inamuelezea Mungu kwa aina yake.
Mwisho wa siku uwepo wa Mungu na maisha baada ya kifo ndiyo silaha inayotumika kuwafanya waumini wa dini kuishi maisha ya hofu Duniani.
Hata Thomas, mwanafunzi wa Yesu hakuamini hadithi za ufufuo wa Yesu Kristo alitaka ajionee yeye mwenyewe.
Vitabu vya dini ni kama vitabu vingine vya hadithi tu.
Inawezekana maana ya neno serious pia usilijue mkuu, kwani nini maana ya serious??Hivi wanaoamini mungu huwa wapo serious kweli?
Inawezekana maana ya neno serious pia usilijue mkuu, kwani nini maana ya serious??Hivi wanaoamini mungu huwa wapo serious kweli?
Walikuwa wanaishi vizuri tu, tena kwa upendo, amani na kwa kufuata kanuni za kimila ila pia walimuamini Mungu na kumuheshimu kwa vitendo ndo maana walbarikiwa na walipewa wayatakayo eg. Mvua.Watu hatuamini huwepo wa hivyo vitu lakini tunatenda yale yanayapaswa kutendwa na binadamu mwenye utu na aliyestaharabika, endeleeni na unafiki wenu...kabla ya hizi dini mababu zetu walikuwa wanaishi vipi?
Ni bora ya ubishi mkuu, ni kiburi chenye Ujinga ngangari ndani Yake. Ndo matokeo yote mabaya ya laana yatokeayo hivi leo.Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Naona umetumia hisia badala ya uhalisia. Yaani hapo naona kama umetumia ego defense mechanism ili ujiweke pazuri.Bullshit. Watu wanaomuamini Mungu ndio watenda maovu kuliko wasiomuamini Mungu.
Tofaut hapo ni hyo s' iliyopo mbele ya neno GOD.Huyo God ana tofauti gani na hao Gods?
Wazungu wanatoa sana ili wabarikiwe.Yaah na ndo maana wanabarikiwa katika baadhi ya mambo, MUNGU YUPO.
Amina mtumishi! Nitafast na kupray for them[emoji23][emoji23][emoji23]Usishangae, inaweza kuwa ni Neema kumjua Mungu, umepewa huo ufaham bure, waombee!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo mambo uliyotaja watu hajachagui. Uwe na imani ama usiwe nayo utakumbana nayo tu.
Na ukifanya uchumguzi vizuri utagundua kwamba wengi wanaojiita walokole hayo mambo yanawatesa zaidi.
Umasikini umewaandama, maradhi ndo usiseme. Kifo kipo kwa kila mtu.
Mungu kama kweli yupo acha ajitetee mwenyewe, wasioamini kama.yupo waache kama walivyo maana hata wao wanakushangaa unavyoamini kama Mungu yupo.
[emoji23][emoji23][emoji23] mtu kaufuata ujinga ila bado anajiona smart.Ujinga.
Sijui kama mungu yupo au la.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijapinga mkuu, wew msimamo wako ni upi?