Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Mzee umemkosea sana mungu sema kuna sehemu mnafeli maombi yanaitaji mtu uwe msafi kiroho sasa wew Msela nondo ni ngumu kuamini kwanza ndio unaweza nguvu za mungu au kunyakati hujazifikia [emoji51] wew ishi ila [emoji16][emoji16] Kuna siku anaweza kukuaminisha yupo
Sio kama aamini, ila hapendi kudhihilisha hilo mbele yetu.

Yani huyu ajawahi kupata tatizo kubwa alafu likampelekea ahitaji suluhu kutoka kwa Mwenye vilivyomo: i. e maradhi, ajali, zile hukumu za miaka 30 jera etc. Atakubari tu ila nafkiri ni suala la mda.[emoji3578][emoji3578]
 
Bahati mbaya mliyonayo Mungu Alisha jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni maandiko tu

Wajinga hawawezi kuisha hapa duniani hata kama Leo hii Mungu atajifunua kwenu na mkaamini kuwa yupo believe me miaka 200 ijaya watatokea tena wajinga kama nyinyi watasema hakuna Mungu
Unajua mpaka mda huu mm bdo naona kama ni Jokes tu, kwani wapi seriously au mm ndo sielew
 
Alijifunua kwa nani?
Babu mzaa Babu yako?
Bibi kizaa bibi yako?
Au Mwanaume aliyemzaa Babu aliyemzaa Babu wa Babu yako?

Sasa wewe mwerevu ulijuaje kwamba huyo ni Mungu/mungu?
Nafkiri huna vitabu vya kutosha kichwani kwako kumuhusu yeye SUPER NATURE. Kasome kwanza ndo uje vizuri na Matusi mazuri kama haya.

Yaani tatizo la kutomuamin MUNGU ndo hili, kupanic sana bila FACT. Na wasiwasi kila mara, yaonekana hapo ulipo umejashuka sana huku unatype[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona hata wazungu wanaamini uwepo wa Mungu na dini ndio imeshape maisha na maendeleo Yao.
Soma historia ya wazungu utayakuta haya.
Halafu nani kakuambia Mwafrika anaijua dini wengi wanashika dini na Sio wanaijua dini.
Unaposema dini una maanisha positivity.
Halafu tambua Kuna God na Gods ni nguvu mbili tofaut.
Mungu ni mmoja na miungu ipo zaidi ya hio elf 3.
Mwafrika angeijua dini asingekuwa masikini.
Yaah na ndo maana wanabarikiwa katika baadhi ya mambo, MUNGU YUPO.
 
Kama yupo basi ye ndio kanikosea sana kwanini ajifiche?

Kwanini kutimiza majukumu yake ya msingi ni mpaka mimi nimuombe tena kwa kujitesa sometimes anataka nikae na njaa (nifunge)

Na hata ukifanya hayo yote bado hakuna kitu anafanya

Morroco watu wanakufa kwa sababu yake, aliumba ulimwengu mbovu wenye kuruhusu matetemeko yanayoua maelfu bila hatia.

Mungu huyu anayeona hayo yote yanayoendelea huko Morroco bado tena anahitaji ukumbushwa ndio afanye kitu, na still hata ukimkumbusha bado ni kazi bure hawezi kufanya chochote.

Ni Mungu ambaye kama yupo basi anatakiwa kutuomba msamaha wa magoti na mchozi.
So sad
 
Hivi huku duniani kuna ambao wanamuani Mungu? Kivipi na kila siku kuna mauaji, usinzi, uongo, utapeli na dhuluma tena vinavyanywa na kufurahiwa na watu wale wale ambao kila siku wapo misikitini na makanisani tena wengine ni viongozi wakubwa kwenye dini hizo
Kwani unaamuamini MUNGU au viongozi wa DINI, tambua wale ni watu kama wewe na wana mapungufu pia(their not Angels)

Ni kweli dunia ina machafuko, je ulitakaje yani; MUNGU afanye nin??
 
Unajua upendo haulazimishwi lakini dini zinalazimisha waumini wake kumpenda Mungu kwasababu wamewekewa hofu kuwa kwa wasiomuamini wataenda kuzimu.

“Mungu ni upendo” (1 Yohana 4:8)

Hapo Biblia inatueleza kuwa Mungu ni upendo. Kwanini Mungu mwenye upendo alitengeneza kuzimu? Akawapa binadamu free will akijua fika wapo watakaobisha uwepo wake. Mungu pamoja na uwezo wake wote akaruhusu binadamu wateseke.

Kwanini Mungu anataka kuombwa, kutukuzwa, kusifiwa? Alituumba kwanini hakufanya tumjue yeye bila kupitia dini maana kila dini inamuelezea Mungu kwa aina yake.

Mwisho wa siku uwepo wa Mungu na maisha baada ya kifo ndiyo silaha inayotumika kuwafanya waumini wa dini kuishi maisha ya hofu Duniani.

Hata Thomas, mwanafunzi wa Yesu hakuamini hadithi za ufufuo wa Yesu Kristo alitaka ajionee yeye mwenyewe.

Vitabu vya dini ni kama vitabu vingine vya hadithi tu.
Samahani mkuu, hoja zako bado ni dhaifu sana. Katika vitabu vifuatavyo ukiachana na hiko kimoja umesoma kipi ?? Pengine imani yako ni ndogo juu yake kutokana umemsoma kwenye kurasa chache:

[emoji3581]Torat
[emoji3581]Zaburi
[emoji3581]Injil
[emoji3581]Qur'an

Kajaribu kupitia vizuri vitabu hivi kisha urudi tena, sio vyema kumjaji Mungu wakati bado hauko vyema kumuhusu yeye coz utaharibu maana nzima kumuhusu yeye.
 
Watu hatuamini huwepo wa hivyo vitu lakini tunatenda yale yanayapaswa kutendwa na binadamu mwenye utu na aliyestaharabika, endeleeni na unafiki wenu...kabla ya hizi dini mababu zetu walikuwa wanaishi vipi?
Walikuwa wanaishi vizuri tu, tena kwa upendo, amani na kwa kufuata kanuni za kimila ila pia walimuamini Mungu na kumuheshimu kwa vitendo ndo maana walbarikiwa na walipewa wayatakayo eg. Mvua.

Sasa kwanini now days kuna baadhi kati yetu hawamuamini??

Hivi huoni ndo chanzo cha majanga yote haya yatokeayo juu yetu foristence, ukosefu wa mvua, njaa, mauaji na matetemeko??

Ebu jaribu kucompare kale na awali then tuongee same language.
 
Bullshit. Watu wanaomuamini Mungu ndio watenda maovu kuliko wasiomuamini Mungu.
Naona umetumia hisia badala ya uhalisia. Yaani hapo naona kama umetumia ego defense mechanism ili ujiweke pazuri.

Mimi naona badala ya umuamini MUNGU, unaamini baadhi ya viongozi waovu wachafuao taswira ya DINI.
 
Yaah na ndo maana wanabarikiwa katika baadhi ya mambo, MUNGU YUPO.
Wazungu wanatoa sana ili wabarikiwe.
Wanatoa sana misaada ili wachukue baraka zetu,ategemeae misaada ubakia masikini milele huku wao wakisonga.
Hii Siri wengi hawajui
 
Hayo mambo uliyotaja watu hajachagui. Uwe na imani ama usiwe nayo utakumbana nayo tu.

Na ukifanya uchumguzi vizuri utagundua kwamba wengi wanaojiita walokole hayo mambo yanawatesa zaidi.
Umasikini umewaandama, maradhi ndo usiseme. Kifo kipo kwa kila mtu.

Mungu kama kweli yupo acha ajitetee mwenyewe, wasioamini kama.yupo waache kama walivyo maana hata wao wanakushangaa unavyoamini kama Mungu yupo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sijapinga mkuu, wew msimamo wako ni upi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sijapinga mkuu, wew msimamo wako ni upi?
Sijui kama mungu yupo au la.
Maana sijawahi thibitisha kama yupo au kama hayupo mi sijui.

Kakaa huko hataki watu wamjue anategemea nani ataamini kwamba ana-exist
 
Back
Top Bottom