Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?
Ni ujinga
Na mtu yeyote anaweza kuwa mjinga katika jambo fulani na si kosa!

Tatizo litakuja pale 'mjinga' huyo atakapo elimishwa na akakaendelea na msimamo wake na matokeo yake atakuwa 'mpumbavu'
 
Ni ujinga
Na mtu yeyote anaweza kuwa mjinga katika jambo fulani na si kosa!

Tatizo litakuja pale 'mjinga' huyo atakapo elimishwa na akakaendelea na msimamo wake na matokeo yake atakuwa 'mpumbavu'
Upo sahihi mkuu, na nilichogundua hapa wasiomuamini MUNGU tayari kwao ni IMANI. Ni ngumu sana kubadili mtu haaminicho.
 
Yah ni kweli uyanenayo na kiukweli yamekaa kimila zaidi, siwezi kukubishia coz ni ya kimila.

Binafsi naamini uwepo wa MUNGU na athari za matendo yke kwa kila kiumbe hai na kisicho hai chini ya ulimwengu wa mwili na roho, pia naamini baadhi ya mila na desturi pia.

Ila sijauelewa msimamo wako ulilenga kipi, coz umetmia njia ya kujibu swali kwa swali. Ingependeza ungenipa maelzo mkuu.
Kwanini una amini Mungu?

Kwako wewe unaona kipi ni bora kati ya kuamini Mungu na kujua Mungu yupo?
 
Kwanini una amini Mungu?

Kwako wewe unaona kipi ni bora kati ya kuamini Mungu na kujua Mungu yupo?
Kinachotangulia ni IMANI, ukimuamini MUNGU ndipo linakuja suala la kujua uwepo wake.

Nimekujibu vizuri mkuu??
 
Nyie watu wa dini sijui mna akili za namna gani kwanza sio wavumilivu kwa wale wasio kubaliana na mafundisho yenu.

Mnapenda kuforce watu wote wawe kama nyie kuishi, kufikiri na kutenda.

Halafu wanafiki sana nyie sijui mafundisho yenu ndio yana haya maujinga ni watu mlio na tabia za kijinga zisizo vumilika.

Kwa mfano wewe hapo watu wasiopo muamini sijui huyo Mungu wako wewe unaathirika nini ? mbona wasio amini wapo ok ila wewe ndie unashwa na kugadhabika wasipo muamini huyo Mungu wako ?
😳JAmAN!
 
Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?
Ni kivipi riziki, maradhi, uhai na kifo vinasadifu uwepo wa mungu?

Kwanini pia unahisi hii ni miujiza?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?
Kama unaona ni vyema asieamini akae kimya kwanini wewe unaeamini pia usikae tu na Imani yako kimya muache kutuhubiria.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Watu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.

Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka
Kwa hiyo na wanaolipua majengo na kuchinja watu kwa jina la mungu wao na wenyewe pia kuamini mungu kumewajengea hofu ya maovu?

Mafisadi serikalini, wab.akaji, majambazi wote ni hawamuamini mungu?



Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Ni kivipi riziki, maradhi, uhai na kifo vinasadifu uwepo wa mungu?

Kwanini pia unahisi hii ni miujiza?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Swali zuri, kwa kawaida matatizo kama maradhi ni sehemu ya ibada kwa mwanadamu kwa maana n moja ya kipimo cha imani ya mwanadamu kwa MOLA wake mlezi.

Hence, matatizo humrejesha mwanadamu kuongeza unyenyekevu kwa mola wake ili kupata msaada juu ya yamkabiliyo.
 
Bahati mbaya mliyonayo Mungu Alisha jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni maandiko tu

Wajinga hawawezi kuisha hapa duniani hata kama Leo hii Mungu atajifunua kwenu na mkaamini kuwa yupo believe me miaka 200 ijaya watatokea tena wajinga kama nyinyi watasema hakuna Mungu
Kuna Mungu wengi sana walijifunua kwa watu tofauti na wote waliwapa maelekezo mungu wengine sio wa kweli ni yeye tu ndio wa kweli. Kwa hiyo ningeomba uanze Kwa kuniambia ni mungu yupi aliejidhihirisha na akafunga ukurasa na aliacha maandiko yapi (bible, Quran, Bhagavad Gita, the book of Mormon)

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Swali zuri, kwa kawaida matatizo kama maradhi ni sehemu ya ibada kwa mwanadamu kwa maana n moja ya kipimo cha imani ya mwanadamu kwa MOLA wake mlezi.

Hence, matatizo humrejesha mwanadamu kuongeza unyenyekevu kwa mola wake ili kupata msaada juu ya yamkabiliyo.
Kwa maana hiyo unataka kusema kwamba kwa kuwa kuna matatizo duniani basi maana ake lazima kuna Mungu anatupima imani ili tumkumbuke si ndio?

Kwa maana hiyo nikikutana na matatizo kwenye maisha yangu ni Mungu tu ananipima imani sasa vipi kuhusu matatizo ya kujitakia kama vile mtu kushindwa kulipa ada za watoto kwasababu ya kutumia mshahara kulewa pombe na kufanyia starehe zilizopitiliza na hii pia ni kipimo cha imani?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Mkuu una uchungu kinoma [emoji23][emoji23]

Una wasiwasi moyoni na kutojiamini, mm siathiriki na chochte coz kila mti atahukumiwa kulingana na matendo yake.

[emoji23][emoji23][emoji23] Plz usipanic hii co vita kaka n fikra tu, njoo na hoja basi nami unielimishe labda mm ndo napotea na wew uko sahihi [emoji23][emoji23][emoji23]
Una ufara mwingi
 
Kwa maana hiyo unataka kusema kwamba kwa kuwa kuna matatizo duniani basi maana ake lazima kuna Mungu anatupima imani ili tumkumbuke si ndio?

Kwa maana hiyo nikikutana na matatizo kwenye maisha yangu ni Mungu tu ananipima imani sasa vipi kuhusu matatizo ya kujitakia kama vile mtu kushindwa kulipa ada za watoto kwasababu ya kutumia mshahara kulewa pombe na kufanyia starehe zilizopitiliza na hii pia ni kipimo cha imani?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Umeuliza maswali mazuri, nafikiri utakuwa umeipitia vyema Injili ya Jesus; unakumbuka pale shetani alipo muamuru Jesus ajitupe kwenye maporomoko ya majabari, Je Jesus alijibu nini??

[emoji419]USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO.

Kwa maana kuna baadhi ya matendo tuyafanyayo kwa makusudi ili kupima uwepo wa MUNGU, Kitu ambacho ni chukizo kwake.

Tukirudi kwenye nguzo za Imani kupitia kitabu cha Qur'an: nguzo ya mwisho ya Imani kwa waislamu ni ipi ??

Any way ngoja nikufafanulie kidogo kwa uelewa wangu;

Kuna nguzo sita za Imani katika uislamu ambazo ni :

1.Kumuamini Allah

2.Kuamini malaika

3.Kuamini mitume wa Allah

4.Kuamini vitabu vya Allah

5.Kuamini siku ya mwisho

[emoji419]6 . Kuamini Qadari (ya kheri au ya shari) kuwa inatoka kwa Allah).

[emoji3581]Nguzo ya mwisho ya uislamu ni kuamini kuwa kuna Qadari. Kheri au shari zote znatoka kwa Allah.

Inatakiwa kuamini kila kitu katika maisha yetu vilishaandikwa . inatikiwa kuamini kwamba chochote ALLAH atakacho amua kutokea, kitatokea kwasababu yeye ndo muumba wa kitu vilivyomo mbinguni na ardhini.

Hizi nguzo za Imani ndo misingi ya Imani kama muislamu. Nguzo za ndo msingi wa Imani juu ya uislamu. Kuamini nguzo zote za Imani na kuzielewa ndio Imani thabiti.
 
Back
Top Bottom