Angyelile99
Member
- Oct 9, 2023
- 89
- 164
Hahahaaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sasa kama aliyetoka kamwaga maji anayeingia amwage maji ili asafishe nini? Au amwage maji asafishe maji
ππ u kill itSasa kama aliyetoka kamwaga maji anayeingia amwage maji ili asafishe nini? Au amwage maji asafishe maji
πππSasa kama aliyetoka kamwaga maji anayeingia amwage maji ili asafishe nini? Au amwage maji asafishe maji
Utakuwa mshirikina wewe si bure!Kumekuwa na katabia kwa vyoo vya public mtu anaingia kujisaidia hasa haja ndogo hamwagi maji kabla ya kujisaidia bali akisha maliza haja yake ndo humwaga maji. Hivi hii kiafya imekaaje
Unataka kusema Nini mkuu?Kumekuwa na katabia kwa vyoo vya public mtu anaingia kujisaidia hasa haja ndogo hamwagi maji kabla ya kujisaidia bali akisha maliza haja yake ndo humwaga maji. Hivi hii kiafya imekaaje
Hayo maji ya kumwaga mara mbili Dawasa wanayo!Kumekuwa na katabia kwa vyoo vya public mtu anaingia kujisaidia hasa haja ndogo hamwagi maji kabla ya kujisaidia bali akisha maliza haja yake ndo humwaga maji. Hivi hii kiafya imekaaje
Ngoja waje kumpa muongozo...