Kutovaa barakoa nalo tamko la kisiasa?

Nadhani tatizo lako sio Mimi, na tatizo lako pia siyo Mungu, Ila mungu,

Kama shida yako ni mungu uko Sawa, lakini kama shida yako itakuwa ni Mungu/MUNGU basi unautani mbaya Sana mkuu na sikuwezi

Na stakufuatilia tena hizi michango yako, Asante
Mnakosea sana kulitaja jina tukufu la Mungu wako, katika masuala ambayo mnajua fika yana uongo na ulaghai.
Na mnajua fika kuwa uongo na ulaghai ni ngome ya Ibilisi.
Ole wenu.
 
Rais Magufuli kasema hajazuia watu kuvaa barakoa.
 
Your browser is not able to display this video.

Asante JPM kwa ufafanuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…