Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #41
Mnakosea sana kulitaja jina tukufu la Mungu wako, katika masuala ambayo mnajua fika yana uongo na ulaghai.Nadhani tatizo lako sio Mimi, na tatizo lako pia siyo Mungu, Ila mungu,
Kama shida yako ni mungu uko Sawa, lakini kama shida yako itakuwa ni Mungu/MUNGU basi unautani mbaya Sana mkuu na sikuwezi
Na stakufuatilia tena hizi michango yako, Asante
Na mnajua fika kuwa uongo na ulaghai ni ngome ya Ibilisi.
Ole wenu.