Kutumia simu kumerahisishwa ila nashangaa wapo wenye simu za android zenye gesture bado wanatumia Vitufe vitatu vya chini?

Kutumia simu kumerahisishwa ila nashangaa wapo wenye simu za android zenye gesture bado wanatumia Vitufe vitatu vya chini?

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
1693078033392.png

KUPERUZI SIMU KWA VITUFE VITATU

Tukiachana na wazee and the likes, Nashangaa kuona bado kuna watu wamekomaa kuendelea kutumia vile vitufe vitatu vilivyopo chini ya screen.

KUPERUZI SIMU KWA GESTURE

Gesture imerahisisha sana kutumia simu,
ukiswipe pembeni kulia au kushoto unarudi nyuma (back),
ukiswipe pale chini kidogo unaona apps zilizofunguka (recent)
ukiswipe pake chini kwenda juu chapchap unarudi mwanzo (home)

nashangaa kuona matumizi ya vitufe vitatu bado wapo wengi wanatumia, shida nini ?
 
Ni mazoea,

Wakati naanza kuitumia hii simu, nilikiwa nataumia hiyo gesture ya vitufe vitatu.

Kuna demu akashika simu yangu, akabadili gesture, nikairudisha ya vitufe vitatu.

Siku nyingine akabadili tena gesture, nikasema ngoja niache hiihii nione.

Hadi leo ni miaka mitatu sasa sijawahi tumia gesture ya vitufe vitatu kwenye simu yangu.
 
Kimsingi kama havina umuhimu hao waliotengeneza hizo android wasingeweka, ndiyo maana waliachana na button wakaja huku katika touch.
 
Back
Top Bottom