Kutunza historia kwanini siku za vifo vya Marais wetu zisiwe holiday?

Kutunza historia kwanini siku za vifo vya Marais wetu zisiwe holiday?

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Nyerere kafariki miaka zaidi ya 20 iliyopita ila kutokana na Nyerere day kuwa ni siku ya mapumziko Leo hii mwanafunzi wa darasa la tatu anajua Nyerere alikuwa nani, hii ni kutokana na Nyerere day tu kuwa siku ya mapumziko

Kwanini isiwe hivyo kwa Mkapa, ikawa hivyo kwa Magufuli lengo kutunza historia yenye kumbukumbu tosha kwa vizazi na vizazi

Nawasilisha.
 
Sijapata kusikia hii kitu kutoka nchi yeyote hapa duniani !! Labda inafanyika kwenye sayari ya Mars peke yake !!
 
Nyerere kafariki miaka zaidi ya 20 iliyopita ila kutokana na Nyerere day kuwa ni siku ya mapumziko Leo hii mwanafunzi wa darasa la tatu anajua Nyerere alikuwa nani, hii ni kutokana na Nyerere day tu kuwa siku ya mapumziko

Kwanini isiwe hivyo kwa Mkapa, ikawa hivyo kwa Magufuli lengo kutunza historia yenye kumbukumbu tosha kwa vizazi na vizazi

Nawasilisha
Siku ya Mkapa na Magufuli ziwe sikukuu. Huna kazi ya kufanya?
 
Nyerere kafariki miaka zaidi ya 20 iliyopita ila kutokana na Nyerere day kuwa ni siku ya mapumziko Leo hii mwanafunzi wa darasa la tatu anajua Nyerere alikuwa nani, hii ni kutokana na Nyerere day tu kuwa siku ya mapumziko

Kwanini isiwe hivyo kwa Mkapa, ikawa hivyo kwa Magufuli lengo kutunza historia yenye kumbukumbu tosha kwa vizazi na vizazi

Nawasilisha
Acha uvivu fanya kazi nchi itajaa siku za mapumziko, wazungu wanatamani siku za kufanya kazi ziongezwe sisi tunataka mapumziko. Shame on you
 
Back
Top Bottom