Kuuawa, kutekwa, kupotea na kushambuliwa kwa viongozi wa CHADEMA, kunaashiria nini?

Kuuawa, kutekwa, kupotea na kushambuliwa kwa viongozi wa CHADEMA, kunaashiria nini?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wakati huu Leo tarehe 27/11/2024 ninapoandika hapa, tayari CHADEMA wametoka taarifa za kuuawa kwa wanachama wao wawili.

CHADEMA wameripoti kuwa kwenye Kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni aliyekuwa mgombea wao kwenye kitongoji kinachoitwa "Stendi" amepigwa risasi na kufariki.

Lakini pia CHADEMA wameripoti kuwa mwanachama wake anayejulikana Kwa jina la Stephen Chalamila ameshambuliwa usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake huko Tunduma, na kufariki Dunia.

Zipo habari pia za kuvamiwa Kwa mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Gairo Bw. Ernest Mkami kushambuliwa na watu wanaohisiwa kuwa ni Wana CCM.

Inatafakarisha Sana kuona viongozi na wanachama wa CHADEMA imekuwa ni kawaida hasa nyakati za chaguzi, kufanyiwa mashambulizi.

Hali hii inaashiria nini?
 
Wakati huu Leo tarehe 27/11/2024 ninapoandika hapa, tayari CHADEMA wametoka taarifa za kuuawa kwa wanachama wao wawili.

CHADEMA wameripoti kuwa kwenye Kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni aliyekuwa mgombea wao kwenye kitongoji kinachoitwa "Stendi" amepigwa risasi na kufariki.

Lakini pia CHADEMA wameripoti kuwa mwanachama wake anayejulikana Kwa jina la Stephen Chalamila ameshambuliwa usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake huko Tunduma, na kufariki Dunia.

Zipo habari pia za kuvamiwa Kwa mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Gairo Bw. Ernest Mkami kushambuliwa na watu wanaohisiwa kuwa ni Wana CCM.

Inatafakarisha Sana kuona viongozi na wanachama wa CHADEMA imekuwa ni kawaida hasa nyakati za chaguzi, kufanyiwa mashambulizi.

Hali hii inaashiria nini?
Tunapenda kuchangia maoni mazuri tu, ila kwa nchi yetu kama TANZANIA. Hakuna kitu kibaya kama kuwa MPINZANI.
 
Hivi nini kimefanya Yanga wameshindwa jana? Nimelia sana
 
Chinembe ni mdini sana. Alikua mpinzani mkubwa wa serikali ya ya kidicteta ya Marehemu Magu. Sasa ni chawa mkubwa wa serikali ya kidicteta ya mweshimiwa Suluhu
 
Tundu Lissu amesema kwamba watawahesabu hawa watu wote wanaouawa halafu watakwenda mahakamani baada ya Uchaguzi.
 
Wakati huu Leo tarehe 27/11/2024 ninapoandika hapa, tayari CHADEMA wametoka taarifa za kuuawa kwa wanachama wao wawili.

CHADEMA wameripoti kuwa kwenye Kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni aliyekuwa mgombea wao kwenye kitongoji kinachoitwa "Stendi" amepigwa risasi na kufariki.

Lakini pia CHADEMA wameripoti kuwa mwanachama wake anayejulikana Kwa jina la Stephen Chalamila ameshambuliwa usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake huko Tunduma, na kufariki Dunia.

Zipo habari pia za kuvamiwa Kwa mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Gairo Bw. Ernest Mkami kushambuliwa na watu wanaohisiwa kuwa ni Wana CCM.

Inatafakarisha Sana kuona viongozi na wanachama wa CHADEMA imekuwa ni kawaida hasa nyakati za chaguzi, kufanyiwa mashambulizi.

Hali hii inaashiria nini?
Mkishambuliwa nanyi washambulieni chukueni hatua ya kujilinda washambulieni hao viongozi wa chini mabalozi na viongozi wao wa matawi, wachomeeni nyumba zao ili hawa viongozi wa juu wanaowatuma hao GREEN GURD waache wakijua tukiteka na kuua watu wetu nao watatekwa na kuuliwa, CCM ni genge la wahuni wasio na huruma hata kidogo, wao kuua ni jambo la kawaida.
 
Tunapenda kuchangia maoni mazuri tu, ila kwa nchi yetu kama TANZANIA. Hakuna kitu kibaya kama kuwa MPINZANI.
Screenshot_2024-11-27-12-00-24-1.png
Screenshot_2024-11-27-12-00-33-1.png
 
Back
Top Bottom