Kuukosa umakamu mwenyekiti Chadema taifa maana yake ni kukosa fursa, sifa na kipaumbele cha nafasi ya kugombea urais kupitia Chadema 2025

Kuukosa umakamu mwenyekiti Chadema taifa maana yake ni kukosa fursa, sifa na kipaumbele cha nafasi ya kugombea urais kupitia Chadema 2025

Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?

Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?

Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Mnalipwa bei gani kila Saa kuja kutupigia Kelele?
 
Yaani ma CCM yanampambania Mbowe kuliko hata anavyojipambania mwenyewe. Na yanamwogopa Lissu kama yanavyoogopa uadilifu, haki na utawala wa sheria. Inashangaza sana!
Gentleman,
ni wanachadema pekee ndio hawataki kuongozwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, vyama vingine havihusiki hata kidogo na uchaguzi wa ndani wa chadema.

Hata hivyo,
Gentleman,
ukipima vizuri, Lisu anaweza kumshinda mbowe kweli na hana hata numbers za wajumbe?🤣
 
Gentleman,
wale walio na kazi na majukumu ya kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote, ni muhimu sana wakaongeza bidii na weledi katika kazi ya kuwatumikia waTanzania,

na hawa ambao wanapambana na chaguzi zao za ndani kitaifa, wakapewa nafasi na fursa ya kufanya hivyo kwa amani bila makasiriko, huku wachambuzi wabobevu na wataalamu wa siasa za vyama wakaendelea kuwahabarisha na kuwelewesha wadau mambo mbalimbali juu ya uchaguzi huo.

kwani kuna ubaya wowote gentleman?🐒
Tusimsahau "mama" jana ameunda Tume ya Rais ya Kutathmini kuhusu Mgogoro wa Ardhi katika Hifadhi ya Ngorongoro lakini hakuna mtu mwenye muda wa kufanya uchambuzi.
 
Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?

Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?

Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwani katiba ya CHADEMA inasema Moja ya sharti la kugombea nafasi ya Urais ni kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama?

Huwa mnakaa na kuwaza kwamba Kuna watu watauliza maswali kama haya? Au Huwa mnaandika Ili kupata replies na kupima uwezo wa watu kujua mambo? Kama jibu ni A basi mana kiwango Cha juu sana Cha upumbavu na ujinga. Na kama jibu ni B ni wazi kwamba hamjui kile ambacho mnataka katika taifa isipokua uchu wa madaraka!
 
Lissu anawanyoosha vizuri sana mpaka hamlali
nadhani Lisu mwenyewe ndie anaenyoroshwa vizuri sana, anakataliwa na wajumbe hadharani bana dah 🤣

kwenye uchaguzi wa chadema kanda ya kati, ambako ndiko anakotoka Lisu, mbele ya macho yake mgombea wake akaambulia kura 7, mbele ya Devota Minja alieshinda kwa kishindo right? ? dah 🤣
 
Gentleman,
mgombea udiwani, ubunge na urais, Lazima udhaminiwe na chama cha siasa. Hiyo ni kwa mujibu wa katiba.

sasa kwa akili ya kawaida tu,
yaani waachwe kupewa vipaumbele wanachama ambao ni viongozi ndani ya chama hicho, halafu eti upewe wewe usie na nafasi yoyote ya uongozi?

huo muujiza ulitokea wapi labda gentleman kwa faida ya wadau?[emoji205]
Lowassa alipogombea alikuwa kiongozi ndani ya Chadema? Kwa nafasi ipi? Huo ujumbe wa kamati kuu aliupata baada ya uchaguzi
 
Gentleman,
kwamba unamfananisha hayati Lowasa na Lisu dah!

unawafananisha kwa mdomo na makelele au?

yaani mjumbe wa kamati kuu ambae pia ni mjumbe wa mkutano mkuu taifa, unamfananisha na Lisu asie na nafasi yoyote chadema mpaka kufikia Oct 2025, kweli?🤣
Ulishajipima uwezo wa ujinga wa akili yako? Ungetulia na kuacha kuandika ujinga kama huu.
 
Leo chadema unaichangia kila kitu kimjala.
Screenshot_20241218_213742.jpg
 
Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?

Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?

Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwani mtu anapoamua kugombea urais, kusudi lake kuu ni nini?.

Je, ni kutimiza ndoto yake au kugombea ili kutatua kero za wananchi ?
 
Kwani katiba ya CHADEMA inasema Moja ya sharti la kugombea nafasi ya Urais ni kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama?

Huwa mnakaa na kuwaza kwamba Kuna watu watauliza maswali kama haya? Au Huwa mnaandika Ili kupata replies na kupima uwezo wa watu kujua mambo? Kama jibu ni A basi mana kiwango Cha juu sana Cha upumbavu na ujinga. Na kama jibu ni B ni wazi kwamba hamjui kile ambacho mnataka katika taifa isipokua uchu wa madaraka!
Gentleman,
mwanachama wa kawaida utapewa nafasi ya kuchukua fomu tu ili chama kipate mapato but hutapewa kipaumbele zaidi ya wagombea viongozi waandamizi waliopambana ndani ya chama na kushinda nafasi walizonazo...

Yaani eti wakupe hiyo fursa wewe ambae umeshindwa uchaguzi wa nafasi mbalimbali ndani ya chama? si maana yake hukubaliki ndani ya chama sasa?

nje ya chama utakua huuziki na ni ngumu kukunadi na kwahivyo utakatwa mara moja 🤣🐒
 
Ni lissu tu ndiyo kitisho cha ccm, mbowe hatakuwa na amshaamsha kwa wapiga kura wa kisasa. Nje na lissu mwenye uwezo wa kuitia presha ccm mama atashinda kiulaini hata kwa kura chache za wanaccm tu watakaoenda kumchagua mgombea wao
 
Ulishajipima uwezo wa ujinga wa akili yako? Ungetulia na kuacha kuandika ujinga kama huu.
relax gentleman plz plz,

hakuna haja ya makasiriko muerevu,

kua muungwana tu, this is politics plz..

wadau wanategemea wenye akili kuja na mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya iliyoko mezani na sio makasiriko na mihemko, right?

so calm down plz 🐒
 
Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?

Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?

Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mwamba Lissu nilikuwa namkubali sana ila huu upuuzi aloufanya kipindi hiki , hafai kuwa kiongozi. Kiongozi unatafuta huruma za wanachama kupitia kutoa madhaifu ya mwenyekiti wako!?. Na hashindi na uraisi atauskia kwenye Bomba. Labda akaanzishe chama chake.

Kuanzisha chama ndo njia pekee ya kuwa mwenyekiti, lakini kwa chadema siioni nafasi na kwasasa mbowe ataungwa mkono na CCM ili kumshinda Lissu, kwakua washatengeneza mpasuko ndani Yao na adui lazima atapita hapo hapo.
 
Ni lissu tu ndiyo kitisho cha ccm, mbowe hatakuwa na amshaamsha kwa wapiga kura wa kisasa. Nje na lissu mwenye uwezo wa kuitia presha ccm mama atashinda kiulaini hata kwa kura chache za wanaccm tu watakaoenda kumchagua mgombea wao
sasa huyo Lisu anakitisho gani gentleman?

na kwanini anatembea na tiketi ya ndege mfukoni?🤣

wajumbe wa mkutano mkuu kanda ya kati anakotoka walimkataa mgombea wake hadharani, hili unalizungumziaje gentleman?🤣
 
Mwamba Lissu nilikuwa namkubali sana ila huu upuuzi aloufanya kipindi hiki , hafai kuwa kiongozi. Kiongozi unatafuta huruma za wanachama kupitia kutoa madhaifu ya mwenyekiti wako!?. Na hashindi na uraisi atauskia kwenye Bomba. Labda akaanzishe chama chake.

Kuanzisha chama ndo njia pekee ya kuwa mwenyekiti, lakini kwa chadema siioni nafasi na kwasasa mbowe ataungwa mkono na CCM ili kumshinda Lissu, kwakua washatengeneza mpasuko ndani Yao na adui lazima atapita hapo hapo.
jamaa hapendi vikao halafu ni muoga mno kueleza mambo akiwa ameketi pamoja na viongozi waandamizi wa chama chake.

anapenda sifa za kushangiliwa.

hata hivyo mdomo na makelele yake vitamuumbua this time around, maana hakuna atakachoambulia 🐒
 
jamaa hapendi vikao halafu ni muoga mno kueleza mambo akiwa ameketi pamoja na viongozi waandamizi wa chama chake.

anapenda sifa za kushangiliwa.

hata hivyo mdomo na makelele yake vitamuumbua this time around, maana hakuna atakachoambulia 🐒
Amezingua msomi unafanya mambo kwa vitendo sasa wee mdomo tu. Na asiposhinda atakuja hadharani aseme ameibiwa kura.
 
Lowassa alipogombea alikuwa kiongozi ndani ya Chadema? Kwa nafasi ipi? Huo ujumbe wa kamati kuu aliupata baada ya uchaguzi
Ndiyo,
alikua kiongozi mwanadamizi wa kamati kuu tangu siku alipokabidhiwa kadi ya uanachama wa chadema na alihidhuria vikao vyote vya kamati kuu ya chadema tangu hapo 🐒
 
Amezingua msomi unafanya mambo kwa vitendo sasa wee mdomo tu. Na asiposhinda atakuja hadharani aseme ameibiwa kura.
tayari ameshaanza kuweka masharti,
eti uchaguzi ukiwa huru na haki atakubali vinginevyo atafanya uamuzi mwingine..

hii ni exit strategy,
wewe kwenye chama chako mwenyewe unamuwekea masharti nani?🐒
 
Back
Top Bottom