mr always in motion
Member
- Sep 5, 2024
- 21
- 12
Kuwakosoa ni jukumu letu,cozi tumewaajiri sisi kupitia kodi zetu..gentleman,
mimi nazungumzia mambo ya ndani ya vyama vyote vya siasa nchini kulingana na wakati muafaka..
na vyama vyote vinnihusu kwasababu ni mali ya umma, ruzuku ambayo ni kodi yangu na yako si wanapata? alaa!![]()