Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?
Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?
Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?π
Mungu Ibariki Tanzania
Gentleman,Yaani ma CCM yanampambania Mbowe kuliko hata anavyojipambania mwenyewe. Na yanamwogopa Lissu kama yanavyoogopa uadilifu, haki na utawala wa sheria. Inashangaza sana!
Tusimsahau "mama" jana ameunda Tume ya Rais ya Kutathmini kuhusu Mgogoro wa Ardhi katika Hifadhi ya Ngorongoro lakini hakuna mtu mwenye muda wa kufanya uchambuzi.Gentleman,
wale walio na kazi na majukumu ya kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote, ni muhimu sana wakaongeza bidii na weledi katika kazi ya kuwatumikia waTanzania,
na hawa ambao wanapambana na chaguzi zao za ndani kitaifa, wakapewa nafasi na fursa ya kufanya hivyo kwa amani bila makasiriko, huku wachambuzi wabobevu na wataalamu wa siasa za vyama wakaendelea kuwahabarisha na kuwelewesha wadau mambo mbalimbali juu ya uchaguzi huo.
kwani kuna ubaya wowote gentleman?π
Endelea kuotaLissu akikosa nafasi ya Mwenyekiti anakwenda kupotea kabisa katika ulimwengu wa siasa za Tanganyika.
Kwani katiba ya CHADEMA inasema Moja ya sharti la kugombea nafasi ya Urais ni kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama?Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?
Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?
Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?π
Mungu Ibariki Tanzania
nadhani Lisu mwenyewe ndie anaenyoroshwa vizuri sana, anakataliwa na wajumbe hadharani bana dah π€£Lissu anawanyoosha vizuri sana mpaka hamlali
Lowassa alipogombea alikuwa kiongozi ndani ya Chadema? Kwa nafasi ipi? Huo ujumbe wa kamati kuu aliupata baada ya uchaguziGentleman,
mgombea udiwani, ubunge na urais, Lazima udhaminiwe na chama cha siasa. Hiyo ni kwa mujibu wa katiba.
sasa kwa akili ya kawaida tu,
yaani waachwe kupewa vipaumbele wanachama ambao ni viongozi ndani ya chama hicho, halafu eti upewe wewe usie na nafasi yoyote ya uongozi?
huo muujiza ulitokea wapi labda gentleman kwa faida ya wadau?[emoji205]
Ulishajipima uwezo wa ujinga wa akili yako? Ungetulia na kuacha kuandika ujinga kama huu.Gentleman,
kwamba unamfananisha hayati Lowasa na Lisu dah!
unawafananisha kwa mdomo na makelele au?
yaani mjumbe wa kamati kuu ambae pia ni mjumbe wa mkutano mkuu taifa, unamfananisha na Lisu asie na nafasi yoyote chadema mpaka kufikia Oct 2025, kweli?π€£
Kwani mtu anapoamua kugombea urais, kusudi lake kuu ni nini?.Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?
Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?
Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?π
Mungu Ibariki Tanzania
Gentleman,Kwani katiba ya CHADEMA inasema Moja ya sharti la kugombea nafasi ya Urais ni kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama?
Huwa mnakaa na kuwaza kwamba Kuna watu watauliza maswali kama haya? Au Huwa mnaandika Ili kupata replies na kupima uwezo wa watu kujua mambo? Kama jibu ni A basi mana kiwango Cha juu sana Cha upumbavu na ujinga. Na kama jibu ni B ni wazi kwamba hamjui kile ambacho mnataka katika taifa isipokua uchu wa madaraka!
elezea kwa kina kifupi kwa faida ya wadau gentleman πLeo chadema unaichangia kila kitu kimjala.View attachment 3183752
relax gentleman plz plz,Ulishajipima uwezo wa ujinga wa akili yako? Ungetulia na kuacha kuandika ujinga kama huu.
Mwamba Lissu nilikuwa namkubali sana ila huu upuuzi aloufanya kipindi hiki , hafai kuwa kiongozi. Kiongozi unatafuta huruma za wanachama kupitia kutoa madhaifu ya mwenyekiti wako!?. Na hashindi na uraisi atauskia kwenye Bomba. Labda akaanzishe chama chake.Je,
Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025?
Au atavuka boda na kujiunga na chama kingine cha siasa kujaribu azma na ndoto yake ya kujaribu kugombea urasi tena Oct.2025?
Kama mdau wa siasa za Tanzania, unapendekeza na kumshauri huyu muungwana aelekee chama gani cha siasa, ili kuendeleza azma na ndoto yake ya kutaka kujaribu kugombea urasi tena uchaguzi wa 2025?π
Mungu Ibariki Tanzania
sasa huyo Lisu anakitisho gani gentleman?Ni lissu tu ndiyo kitisho cha ccm, mbowe hatakuwa na amshaamsha kwa wapiga kura wa kisasa. Nje na lissu mwenye uwezo wa kuitia presha ccm mama atashinda kiulaini hata kwa kura chache za wanaccm tu watakaoenda kumchagua mgombea wao
jamaa hapendi vikao halafu ni muoga mno kueleza mambo akiwa ameketi pamoja na viongozi waandamizi wa chama chake.Mwamba Lissu nilikuwa namkubali sana ila huu upuuzi aloufanya kipindi hiki , hafai kuwa kiongozi. Kiongozi unatafuta huruma za wanachama kupitia kutoa madhaifu ya mwenyekiti wako!?. Na hashindi na uraisi atauskia kwenye Bomba. Labda akaanzishe chama chake.
Kuanzisha chama ndo njia pekee ya kuwa mwenyekiti, lakini kwa chadema siioni nafasi na kwasasa mbowe ataungwa mkono na CCM ili kumshinda Lissu, kwakua washatengeneza mpasuko ndani Yao na adui lazima atapita hapo hapo.
Amezingua msomi unafanya mambo kwa vitendo sasa wee mdomo tu. Na asiposhinda atakuja hadharani aseme ameibiwa kura.jamaa hapendi vikao halafu ni muoga mno kueleza mambo akiwa ameketi pamoja na viongozi waandamizi wa chama chake.
anapenda sifa za kushangiliwa.
hata hivyo mdomo na makelele yake vitamuumbua this time around, maana hakuna atakachoambulia π
Ndiyo,Lowassa alipogombea alikuwa kiongozi ndani ya Chadema? Kwa nafasi ipi? Huo ujumbe wa kamati kuu aliupata baada ya uchaguzi
tayari ameshaanza kuweka masharti,Amezingua msomi unafanya mambo kwa vitendo sasa wee mdomo tu. Na asiposhinda atakuja hadharani aseme ameibiwa kura.