Kamili Gado
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 386
- 97
Ni ukweli usiopingika kuwa Multiple Choice Questions kwa level ya University ni kuwafanya hawa wanachuo kutoka vyuoni wakiwa watupu haswaaa yaani unamkuta mtu ana mzinga wa GPA sijui 4.7 lakini hajui lolote unajiuliza alipataje hiyo FIRST CLASS kumbe ni kwa kupitia Multiple Choice Questions. Kwa namna hii tunaweza kuja kupambana na wasomi toka vyuo vikuu vya Afrika Mashariki, Africa na huko Duniani?
Hakuna maswali magumu kama mcq
Mutiple Choice katika level ya University ni level ya chini wa kumtest mwanafunzi jamani je lecturers wanashindwa kutunga maswali ya Essay etc na si MCQ?
Hebu nisaidie unawezaje kupima knowledge...understanding...comprehension...synthesis...analysis...evaluation
Basi hata hizo essay zingekuwa zinaangalia uwezo wa kufikri wa mwanafunzi, lakini sasa hivi lecturers wanataka ushushe kama ilivyo kwenye handout. Ni bora hata hizo MCQs mara mia!! Shame on them!!!
nenda hata harvad utakutana na multiple choic3 na true n false usikurupuke