Kamili Gado
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 386
- 97
kwa hiyo mcq kwenye mtihani wa hesabu darasa LA 7 ni sahihi? mbona mfumo huo ulipondwa sana?.
nakumbuka nikiwa o level kuna jamaa alipiga maswali yote 15 ya mc kwenye paper ya chemistry baada ya watu kuomba m
saada atuelekeza kapaje maana kulikuwa na calculations jamaa hakuweza kufanya hivyo.
nakumbuka nikiwa o level kuna jamaa alipiga maswali yote 15 ya mc kwenye paper ya chemistry baada ya watu kuomba m
saada atuelekeza kapaje maana kulikuwa na calculations jamaa hakuweza kufanya hivyo.