M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wadau, salaam!
Nimekutana na karatasi ya Maswali ya Mtihani uliopita mwaka wa 3 (Final Year) pale UDSM una maswali ya multiple choice kama 20 hivi na kila swali lina marks 1, hivyo mtu akipata maswali yote hata kwa ku-guess tu ana marks 20 tayari kati ya 60 anazotakiwa kupata katika University Exam (UE). Swali langu ni kwamba, wa level ya Chuo Kikuu (University) tena Mwaka wa 3 anayepewa multiple choice kweli tunaanda wataalamu wa aina gani?
Rai Yangu:
Ningeshauri vyuo vikuu vibadili mtindo huu wa kutunga maswali (Multiple Choice) maana unavutia (encourage) kubahatisha (guessing) bila kufikirisha akili ya mwanafunzi.
Najua hapa watakuja watu kuutetea, ooh idadi ya wanafunzi wamekuwa wengi ndo maana lecturers wanatunga multiple choice questions ili iwe rahisi kusahihisha lakini sababu hiyo tu haitoshi kuharibu wanachuo hawa ambao baada ya kumaliza hapo, wanaenda kupambana na wasomi wa Kenya, Uganda, Afrika Kusini & dunia nzima
Nimekutana na karatasi ya Maswali ya Mtihani uliopita mwaka wa 3 (Final Year) pale UDSM una maswali ya multiple choice kama 20 hivi na kila swali lina marks 1, hivyo mtu akipata maswali yote hata kwa ku-guess tu ana marks 20 tayari kati ya 60 anazotakiwa kupata katika University Exam (UE). Swali langu ni kwamba, wa level ya Chuo Kikuu (University) tena Mwaka wa 3 anayepewa multiple choice kweli tunaanda wataalamu wa aina gani?
Rai Yangu:
Ningeshauri vyuo vikuu vibadili mtindo huu wa kutunga maswali (Multiple Choice) maana unavutia (encourage) kubahatisha (guessing) bila kufikirisha akili ya mwanafunzi.
Najua hapa watakuja watu kuutetea, ooh idadi ya wanafunzi wamekuwa wengi ndo maana lecturers wanatunga multiple choice questions ili iwe rahisi kusahihisha lakini sababu hiyo tu haitoshi kuharibu wanachuo hawa ambao baada ya kumaliza hapo, wanaenda kupambana na wasomi wa Kenya, Uganda, Afrika Kusini & dunia nzima