Kuuliza si ujinga, kuna uhusiano wowote kati ya urais na udaktari?

Kuuliza si ujinga, kuna uhusiano wowote kati ya urais na udaktari?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Wadau labda sifahamu ni sifa miongoni mwetu nchi za kiafrika au Tanzania tu?

Nimeona marais wetu especially kizazi kipya wanapewa au kutunukiwa sifa ya Udaktari.

Ni kwamba ukiwa Daktari unaweza kuwa rais au udaktari ni chaka la Urais au tumedharau cheo cha udaktari na mpaka kila mtu anatunukiwa?

Nawasilisha
 
Ni ulimbukeni wetu tu Waafrika na kujikomba kwa Watawala ndio maana zinagawiwa kirahisi kutoka mamlaka zetu.

Putin naye ana udaktari wa kutunikiwa ila huwezi kuona anaitwa Dkt. Putin
 
Wadau labda sifahamu ni sifa miongoni mwetu nchi za kiafrika au Tanzania tu? nimeona marais wetu especially kizazi kipya wanapewa au kutunukiwa sifa ya udaktari ni kwamba ukiwa daktari unaweza kuwa rais au udaktari ni chaka la urais au tumedharau cheo cha udaktari na mpaka kila mtu anatunukiwa?


nawasilisha
Hakuna relation yoyote. Sana sana kibongo wana obtain ili kukuza status kwenye jamii ila sio kutumikia usomi wao
 
Wadau labda sifahamu ni sifa miongoni mwetu nchi za kiafrika au Tanzania tu?

Nimeona marais wetu especially kizazi kipya wanapewa au kutunukiwa sifa ya Udaktari.

Ni kwamba ukiwa Daktari unaweza kuwa rais au udaktari ni chaka la Urais au tumedharau cheo cha udaktari na mpaka kila mtu anatunukiwa?

Nawasilisha
Mkuu
Rushwa siyo kutoa ama kupokea fedha pekee. Angalia maprofesa wanavyoteuliwa kwa fujo ilihali nadharia zao zimeshindwa kuisaidia nchi. Hivyo kumpatia Rais shahada ya PhD ni rushwa kwa viongozi ili watoe fadhila kwa kada inayoshikilia accredetations za Wanazuoni.

Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa na zawadi za kutosha za PhD lakini katu hatukuona mahala akitambulishwa kama Dr. Mwalimu Julius K. Nyerere.

Hawa tulionao sasa ni wazi hawana mchango wa maana kwa Taifa bali mchango wao ni kwa waliowateua ndo maana kila mteule hana input kwa nchi badala yake inputs zake ni kumsifia mteuzi bila hata kushirikisha akili vizuri.

Tunaona wazi kabisa, wanapenda sifa zaidi ya kutimiza wajibu wao muhimu kwa. nchi. Hali mbaya kila kona lakini hauoni kinachofanyika zaidi ya kuwalipa waimba mapambio wanaogeuza taabu za wananchi kama mafanikio ya viongozi. Unatafuta kwa tochi mchana kweupee nini kinafanyika kutukwamua unaishia kumkosea Muumba kwa kulaani walio madarakani
 
Mkuu
Rushwa siyo kutoa ama kupokea fedha pekee. Angalia maprofesa wanavyoteuliwa kwa fujo ilihali nadharia zao zimeshindwa kuisaidia nchi. Hivyo kumpatia Rais shahada ya PhD ni rushwa kwa viongozi ili watoe fadhila kwa kada inayoshikilia accredetations za Wanazuoni.

Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa na zawadi za kutosha za PhD lakini katu hatukuona mahala akitambulishwa kama Dr. Mwalimu Julius K. Nyerere.

Hawa tulionao sasa ni wazi hawana mchango wa maana kwa Taifa bali mchango wao ni kwa waliowateua ndo maana kila mteule hana input kwa nchi badala yake inputs zake ni kumsifia mteuzi bila hata kushirikisha akili vizuri.

Tunaona wazi kabisa, wanapenda sifa zaidi ya kutimiza wajibu wao muhimu kwa. nchi. Hali mbaya kila kona lakini hauoni kinachofanyika zaidi ya kuwalipa waimba mapambio wanaogeuza taabu za wananchi kama mafanikio ya viongozi. Unatafuta kwa tochi mchana kweupee nini kinafanyika kutukwamua unaishia kumkosea Muumba kwa kulaani walio madarakani
big up
 
Huyu wa huku kwetu Dr.Wiliam Ruto Ni wa hovyo kbsa sijawahi ona
 
Back
Top Bottom