Kuuliza siyo ujinga, hii kitu huwa naiona sana huku Pwani

masanzu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2013
Posts
605
Reaction score
217
Hii kitu naiona sana pwani kwetu bara ni vitu vyakigeni hata sielewi maana yake
 
Hata wasukuma wale wa kolomije ndani ndani wanajivalia wakike na kiume.
 
Ukiona kwenye mguu mmoja wa kushoto, basi ujue unaruhusiwa kupangisha banda la "uani". Ukikuta miguu yote basi ujue na nyumba kubwa pia unaruhusiwa kupaki gari
 
Nasikia ni green light kwa mlango wa sebuleni na wa uchochoroni asasa sijui kushoto ndio sebuleni kulia ndio uchochoroni...natusubiri waje.
mkuu nimekuelewa japo kwa mbinde[emoji3] [emoji3]
 
Duh huo mguu uku kwetu pwani hatuna,inaonyesha kabisa uyo ni mtu wa bara uko.
Maana ya iyo kitu nitarudi kukujuza baadae hofu ondoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…