Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Nahisi ninaelekea kupata PhD ya mapenzi....asante JF.[emoji854][emoji854]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Nahisi ninaelekea kupata PhD ya mapenzi....asante JF.[emoji854][emoji854]
Hivi ni lazima kuumiaHaya mambo hayana mjuzi. Unaeza kujifanya umeyajulia ila usiku unatokwa chozi. Sema magnitude ya maumivu na jinsi ya kupokea maumivu na kumove on inatofautiana kati ya mtu na mtu.
😅😅😅jirani mimi sijasema ujueAcha vitu vitembezwe miles,
Huwa inatokea tu. Labda uwe chapa ilale huwezi kuumia. Na hata chapa ilale ipo sehemu anaielewa ambapo ataumizwa napoHivi ni lazima kuumia
Kwani wewe jirani hujawahi kuumia..Hivi ni lazima kuumia
PHD meansNahisi ninaelekea kupata PhD ya mapenzi....asante JF.[emoji854][emoji854]
Kuna kitu nimegundua recently ukiona mwanamke anapenda sana hela za mwanaume yupo tayari hata kutoa tigo ili apate pesaAnaekumbukwa ni yule aliyekuwa akitoa mshiko mnene sio msimamia kucha.
[emoji6][emoji854]PHD means
Pokea Habari Dogo
Nakusikiliza jirani yangu sema neno banah hoja zako huwa zinamashiko[emoji28][emoji28][emoji28]jirani mimi sijasema ujue
Niliumiaga siku moja tu na haijawahi tokea tena... Unajua kutatua tatizo nikujisoma tu, ni kuusoma mchezo na kutafuta the root causeKwani wewe jirani hujawahi kuumia..
Wewe umeshawahi kuumizwa mara ngapi, wewe unapenda ipi chapa ilale, au long term relationshipHuwa inatokea tu. Labda uwe chapa ilale huwezi kuumia. Na hata chapa ilale ipo sehemu anaielewa ambapo ataumizwa napo
Mimi sasa jirani 😅😅Nakusikiliza jirani yangu sema neno banah hoja zako huwa zinamashiko
Itakayokuwa siriazi.Wewe umeshawahi kuumizwa mara ngapi, wewe unapenda ipi chapa ilale, au long term relationship
Aiseh..pole na hongera kwa kupata uzoefu jiraniNiliumiaga siku moja tu na haijawahi tokea tena... Unajua kutatua tatizo nikujisoma tu, ni kuusoma mchezo na kutafuta the root cause
Napenda kuwa kwenye committed relationship. Kwahiyo kuumizwa ni jambo tarajiwa ukiwa kwenye mahusiano ya hivo iwapo mambo yataenda ndivo sivo. Na wakati mwingine ni vigumu kulet them go ila unapata ujasiri wa kuwaacha waende tu. Ili niweze hata kukisiana na mtu lazima niwe na hisia na wewe kwahiyo mambo ya kuruka ruka bila kuwekeza hisia siaywezi. Na kuwekeza hisia huwa inakuja tu bila kupangaWewe umeshawahi kuumizwa mara ngapi, wewe unapenda ipi chapa ilale, au long term relationship
Relationship Itakayokua sirius ina price to pay.. Huwa haiji tu kama sadaka imedondola, maana mapenzi siku hizi yameshaingwa na viwaviItakayokuwa siriazi.
Ingawa hujaniuliza [emoji38][emoji38][emoji38]
Angalia my signature! And that is me,Haya mambo hayana mjuzi. Unaeza kujifanya umeyajulia ila usiku unatokwa chozi. Sema magnitude ya maumivu na jinsi ya kupokea maumivu na kumove on inatofautiana kati ya mtu na mtu.