Hao masoul kitu gani wapo sana extro..tatizo ni kwamba mind zenu zina ile kitu kwamba wanawake wote ni Vimeo kwahiyo unamtreat ndivyo sivyo kwa sababu aliyepita kakufsnyia ushenzi..
Sasa na sisi siku hizi tunaamua kunata na beat tu mradi maisha yaende.
Hivi nikuulize...hao wanawake wa miaka iliyopita walikuwa hawahudumiwi kwa kila kitu na wanaume zao?kwanini mnapenda kulalamika hivyo?
Ukiona mwanamke wako uko nae kwenye mahusiano amegeuka kuwa matonya mtafutie kitu kitakachomfanya asiombe...na umwambie ukweli kuwa unamfanyia 1,2,3 kwa kuwa hutaki kuombwa ombwa pesa kila mara fullstop
Wanaume na nyie hamtabiriki kabisa..ninaweza kukupenda kwa dhati kabisa na nisiwe matonya mwisho wa siku unaniona mi poyoyo unaenda mhonga mwanamke mwingine huko😣😣
Hakuna namna extro tuhongeni tu