Kuumia kwenye mapenzi ni swala la uamuzi

Dawa ni moja tu na hiyo dawa inafanya kazi vilivyo kuepuka dramas na maumivu ya mioyo na mawazo yanayotaka kutoa roho
 
Mimi sasa jirani [emoji28][emoji28]

Cha msingi ni kuendelea kuyafurahia maisha..ndani ya kufurahi a maisha kuna kila kitu humo..[emoji38][emoji38][emoji38]yani full package.


Halafu jirani na mwenzio Mnazareth mlipotelea wapi!!
Mnazareth yupo tulipoteana majukumu,

Ila kama unaanza kukomaa vile, mapenzi unayajua wewe, u been there done that [emoji106]
 
Mnazareth yupo tulipoteana majukumu,

Ila kama unaanza kukomaa vile, mapenzi unayajua wewe, u been there done that [emoji106]
Ahaaa basi nimefurahi kukuona jukwaani tena.

πŸ˜…πŸ˜…siyajui jirani yangu napalangana hivyo hivyo baba.
Na mimi kuna wakati nalia ujueπŸ˜…πŸ˜…
Hata kama nilikuwa nalia dakika moja iliyopita nyongo ya mapenzi ikiingiaπŸ˜…πŸ˜…nakuona kama mdogo wake na shetani ndo imeisha hiyo...naenda zangu kupiga 🍷 naufurahia mziki mzuri maisha ndo yanaenda hivyoπŸ˜…πŸ˜…
 
Relationship Itakayokua sirius ina price to pay.. Huwa haiji tu kama sadaka imedondola, maana mapenzi siku hizi yameshaingwa na viwavi
Trust mi jirani..kuna siku mtu ataona kitu cha tofauti unacho wewe na hakipo kwa mtu mwingine yeyote na hicho ndicho kitamfanya mtu akae na wewe..

Si kila kitu ni cha kulazimisha kikae maishani mwako.

Fanya kwa kiwango chako kama mwanadamu mengine yakabidhi mbinguni kwa Mungu.
 
Naendelea kusoma comments ndugu wajumbe..😊
 
Haya mapenzi yanawatesa Sana watu duh!!!
 
Isaac newton gets bored invets caliculus aliconcetrate kiasi kutokuwa na mpenzi na bila kufanya mapenzi mpk kufa mapenzi kitu gan concentrate na kazi na kumjua mungu
 
Isaac newton gets bored invets caliculus aliconcetrate kiasi kutokuwa na mpenzi na bila kufanya mapenzi mpk kufa mapenzi kitu gan concentrate na kazi na kumjua mungu
Mtu kukataa 'sex' ni ugonjwa mmoja mbaya sana
Philosophers wengi hawakuwa na wake, lakini walikuwa wanamahusiano ya kiume (Homosexuality) maana yake hauwezi kupinga sex

Pia kuna madhara mengi usipofanya sex, usishangae kuona shule za jinsia moja recently kila mwezi wanaruhusiwa kutoka mara moja kwa mwezi ili kujichanganya, dunia imeundwa ijibalance, dualism, YinYang kwa falsafa za kiafrika tunatumia 'Njia panda' hivyo vitu vina maana sana

So usiseme fulani hajaoa kabla haujafuatilia zaidi kujua maisha yao, homosexuality was just a norm to philosophers kwa kuwa mwanamke walimuona kama ni chanzo cha impurities
 
Tatizo furaha ya mapenzi huwa haidumu. Inakoma pale udhaifu wa mmoja ukionekana dhahiri.

Mnaweza furahia mwanzoni ila baadae mmoja akaanza kuona mwenzie kama mzigo hasa matatizo makuu yakiwa aidha mwanaume hana hela/mchongo au mwanamke ni omba omba. Haya ndio mambo yanyoongoza kuharibu ile furaha sikuhizi.

Wanaoweza kudumu ni soulmates with ties to unconditional love. Sasa jiulize hio unconditional love unaipatia wapi now zaidi ya kwa mama yako mzazi?
 
Hao masoul kitu gani wapo sana extro..tatizo ni kwamba mind zenu zina ile kitu kwamba wanawake wote ni Vimeo kwahiyo unamtreat ndivyo sivyo kwa sababu aliyepita kakufsnyia ushenzi..

Sasa na sisi siku hizi tunaamua kunata na beat tu mradi maisha yaende.

Hivi nikuulize...hao wanawake wa miaka iliyopita walikuwa hawahudumiwi kwa kila kitu na wanaume zao?kwanini mnapenda kulalamika hivyo?

Ukiona mwanamke wako uko nae kwenye mahusiano amegeuka kuwa matonya mtafutie kitu kitakachomfanya asiombe...na umwambie ukweli kuwa unamfanyia 1,2,3 kwa kuwa hutaki kuombwa ombwa pesa kila mara fullstop

Wanaume na nyie hamtabiriki kabisa..ninaweza kukupenda kwa dhati kabisa na nisiwe matonya mwisho wa siku unaniona mi poyoyo unaenda mhonga mwanamke mwingine huko😣😣

Hakuna namna extro tuhongeni tu
 
Umtafutie kisha aanze dharau tena akusaliti juu sababu hata umuhimu wako utakuwa haupo tena! Hivi tabia zenu unafikiri hatuzijui nyie...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… just kidding!

Kimsingi mwanamke ni opportunistic. Na hio kumtafutia kitu cha kufanya endapo angekuwa na akili na passion angekuwa nacho hata kabla hamjakutana. It works but for few of them.
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† bhanaeeeee unanichosha...hakuna namna endeleeni kutuhonga tu maana hamnaga jema nyie watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…