Kuunga Mkono Nia ya Makongoro Nyerere (Urais 2015)


At the moment, if I have to put a list of five, who have a realistic chance of winning the nomination, Mako won't make the cut. Lakini katika siasa za Tanzania, publicity and good fortune are better than experience and accomplishments.

Makongoro ana good fortune. Ni mtoto wa Nyerere. Akipata publicity nzuri anayo nafasi kubwa tu.

Kuhusiana na CCM, Kile ni chama cha watanzania. Wakati wa mfumo wa chama kimoja, tulilazimishwa kukijenga. Na bado kinatumia assets za taifa kuliko chama kingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…