Kuungua mara kwa mara shule za Waislam. BAKWATA na makundi mengine wakae chini wajitafakari

Kuungua mara kwa mara shule za Waislam. BAKWATA na makundi mengine wakae chini wajitafakari

Mromboo

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
2,966
Reaction score
6,593
Wasalaam! Nawasalimu kwa mujibu wa Imani zetu na zenu
Modes mkipenda futeni tu huu uzi.
Hili suala la kuungua mara kwa mara shule za ndugu zetu Waislam lishakuwa hatari na huko tuendako linatishia usalama wa watanzania wote. (Kumbuka shule wanasoma watanzania wa itikadi na imani zote).

Kuna kitu kinaumiza sana akili ambacho naona kipo nyuma ya hili suala. Jambo la kusikitisha ni kwamba, kila viongozi wa Bakwata wanapotoa /anapotoaTamko lolote lile la kuegemea serikali lazima shule iingue, natoa mfano;

Wakati Shekhe wa mkoa Pendwa alipotoa tamko kwagongo wa kamati ya maadili ya dini kuhusu viongozi wote wa kidini kutoa tamko la kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa, tuliona shule kule Bukoba ikiungua na kuua watoto wasio na hatia 10. Serikali haikuchukulia uzito wala mkulu kusitisha kampeni kwa siku moja angalua kuonyesha masikitiko badala yake alisema ticha aachiwe huru.

Juzi baada ya shekhe wa mkoa uleule pendwa kutoa tamko la kuwakemea na kuwafunga mdomo wale wanaomsema kiongozi mpendwa kwenye mimbari na kuwakemea tumeona shule ya huko Tabora ikiwaka moto. Sijaona leo siku nzima serikali ikitoa tamko badala yake Polepole ameitisha press na kusema Lissu ni msukule akisindikizwa na NEC kumuita Lissu mahakami kule Dodoma kujibu mashtaka ya NEC.

Jambo hili linahusu waislam wenyewe. Wasipokaa chini watatuangamiza sisi wote na watoto wetu. Naomba BAKWATA na makundi wengine wakae chini waachane na siasa na kujenga amani kwenye taasisi zao na kuinusuru nchi. Pia mamlaka ndani ya Waislam wamuonye shekhe wa mkoa pendwa aache siasa afundishe dini. Bila hivyo kila siku haya yatakuwepo na hakuna atakayepona.

Wasalaam Usiku mwema. Yanga Imara.
 
Suala la Mashekhe wa uamsho liangaliwe kwa jicho la nne.
Huenda hata serikali ishaanza kulifanyia kazi na ndiyo maana raisi akiwa kagera aliagiza mkuu wa shule iliyoungua kagera aachiwe, uchunguze uendelee. Haiwezekani shule ziwe zinaungua randomly kila baada ya wiki kadhaa.
Nina imani itabainika nini kiko nyuma ya hii kitu
 
Huenda hata serikali ishaanza kulifanyia kazi na ndiyo maana raisi akiwa kagera aliagiza mkuu wa shule iliyoungua kagera aachiwe, uchunguze uendelee. Haiwezekani shule ziwe zinaungua randomly kila baada ya wiki kadhaa.
Nina imani itabainika nini kiko nyuma ya hii kitu
Mkuu niko sawa na wewe. Ila waende beyond serikali
Masuala ya imani ni magumu sana. Waislamu wenyewe ndio wataweza kumaliza hili suala. Serikali itatumia dola lakini dola haijawahi kushinda imani. Kumbuka imani inakuambia ukifa unaenda Peponi kula bata.
 
Kwa maoni yangu wapo wasioitakia mema nchi hii ndio wanaopanga haya,

Huenda pia wanafadhiliwa, na kufunzwa kuweza kufanya wanayoyafanya

Pia kuna malengo (goals) ambapo baada ya kipindi fulani watakaa na kufanya evaluation kama lengo lao limetimia au la

Nawashauri watanzania wenzangu tusiliangalie suala hili kwa jicho legelege tuitumie vema akili yetu tuliyobarikiwa na Mungu king'amua

Swali pekee na jumuishi ni je kama suala hili linasababishwa na uzembe wa kitaasisi je kwanini mambo haya tatokee MWAKA HUU? Tena miezi hii na kwa kifuatana fuatana kiasi hicho?
 
Mkuu niko sawa na wewe. Ila waende beyond serikali
Masuala ya imani ni magumu sana. Waislamu wenyewe ndio wataweza kumaliza hili suala. Serikali itatumia dola lakini dola haijawahi kushinda imani. Kumbuka imani inakuambia ukifa unaenda Peponi kula bata.
Unajua sitaki kuongea sana maana, ila yanayoendelea malawi yanaweza kuja kwa gear nyingine hapa watu wana agenda labda kuwaproke hawa wareact kuwa shule zao zinachomwa na watu wa imani tofauti halafu kitakachofuata....
Hii siyo coincidence hata kidogo ni planned.
 
Kwa maoni yangu wapo wasioitakia mema nchi hii ndio wanaopanga haya,

Huenda pia wanafadhiliwa, na kufunzwa kuweza kufanya wanayoyafanya

Pia kuna malengo (goals) ambapo baada ya kipindi fulani watakaa na kufanya evaluation kama lengo lao limetimia au la

Nawashauri watanzania wenzangu tusiliangalie suala hili kwa jicho legelege tuitumie vema akili yetu tuliyobarikiwa na Mungu king'amua

Swali pekee na jumuishi ni je kama suala hili linasababishwa na uzembe wa kitaasisi je kwanini mambo haya tatokee MWAKA HUU? Tena miezi hii na kwa kifuatana fuatana kiasi hicho?
Ndo swali la msingi. Ila kumbuka kuwa hasira za watu wanazitemaga kwenye uchaguzi. Ndio muda wao. Pia tukumbuke, kama sisi ni kisiwa cha amani kwanini watu wajipenyeze kufanya hayo bila kutbuliwa au kuripotiwa? Pia ni kwanini ni upande mmoja tu? Nisaidie hapo mkubwa.
 
Huenda hata serikali ishaanza kulifanyia kazi na ndiyo maana raisi akiwa kagera aliagiza mkuu wa shule iliyoungua kagera aachiwe, uchunguze uendelee. Haiwezekani shule ziwe zinaungua randomly kila baada ya wiki kadhaa.
Nina imani itabainika nini kiko nyuma ya hii kitu
Kwakweli iliniuma sana kwa Jinsi IGP alivyochukua maaamuzi dhaifu na Matatizo magumu na yenye kuhitaji uchunguzi wa Kinna. Shule za Taasisi moja zinaungua kwa mfuatano halafu unaagiza Mkuu wa Shule na Maafisa Elimu wawekwe Ndani??? Nilisikitika sana kwa Maamuzi wa Kiongozi wangu Sirro.

Kwa uzzito wa suala hili nilidhani Sirro kwa kushirkiana na DG wangeitana kikao cha kamati nzitto ikiwezekana hata kuomba msaada kwa wabobezi zaidi ili kujua chanzo ni nini kwa nguvu zile zileeeee zilizowang'oa Kibiti na Amboni.

Wakati ule walipoanza mchezo mchezo kwa kuvamia Vituo vya Polisi mbona hatukuona maamuzi ya kuwatia ndani OCD na OCS kama sasa.

Nashauri tusichukue maamuzi mepesi kwa matatizo magumu, Namshukuru sana Amri Jeshi Mkuu kwa kubatirisha maamuzi ya IGP kwakweli hapo nakupa Hongera uliona mbali.

Bado leo tena Namsubiri IGP SIRRO amtie ndani DEO wa Tabora na Mkkuuu wa shule ya Istiqama iliyoungua, maana ndicho anachoona yeye kwamba wao ndio chanzo, Ni maaajabu sana!

Naaamini bado vyombo vyetu viko kazini kuondoa kadhia hiii na kamwe sitaki kuamini kwamba uwezo wetu umeishia kuwaona maafisa elimu ni wazembe!
 
Ndo swali la msingi. Ila kumbuka kuwa hasira za watu wanazitemaga kwenye uchaguzi. Ndio muda wao. Pia tukumbuke, kama sisi ni kisiwa cha amani kwanini watu wajipenyeze kufanya hayo bila kutbuliwa au kuripotiwa? Pia ni kwanini ni upande mmoja tu? Nisaidie hapo mkubwa.
Mkuu niviachie vyombo vya ulinzi na usalama vifanye yake na naamini vipo kazini
 
Kwakweli iliniuma sana kwa Jinsi IGP alivyochukua maaamuzi dhaifu na Matatizo magumu na yenye kuhitaji uchunguzi wa Kinna. Shule za Taasisi moja zinaungua kwa mfuatano halafu unaagiza Mkuu wa Shule na Maafisa Elimu wawekwe Ndani??? Nilisikitika sana kwa Maamuzi wa Kiongozi wangu Sirro.

Kwa uzzito wa suala hili nilidhani Sirro kwa kushirkiana na DG wangeitana kikao cha kamati nzitto ikiwezekana hata kuomba msaada kwa wabobezi zaidi ili kujua chanzo ni nini kwa nguvu zile zileeeee zilizowang'oa Kibiti na Amboni.

Wakati ule walipoanza mchezo mchezo kwa kuvamia Vituo vya Polisi mbona hatukuona maamuzi ya kuwatia ndani OCD na OCS kama sasa.

Nashauri tusichukue maamuzi mepesi kwa matatizo magumu, Namshukuru sana Amri Jeshi Mkuu kwa kubatirisha maamuzi ya IGP kwakweli hapo nakupa Hongera uliona mbali.

Bado leo tena Namsubiri IGP SIRRO amtie ndani DEO wa Tabora na Mkkuuu wa shule ya Istiqama iliyoungua, maana ndicho anachoona yeye kwamba wao ndio chanzo, Ni maaajabu sana! Naaamini bado vyombo vyetu viko kazini kuondoa kadhia hiii na kamwe sitaki kuamini kwamba uwezo wetu umeishia kuwaona maafisa elimu ni wazembe!
Haikuwa sawa..
Labda kama itikadi za Boko Haram kuna kikundi cha watu hawataki wenzao wapate elimu dunia wanataka elimu akhera tu. Ila kuna jambo linahitaji uchunguzi wa makini na nina hakika watakuwa washaanza kupeleleza kwa makini.
 
Ishu hapa siyo mashehe wala Bakwata, tatiZo hapa ni jeshi la polisi Tz.

Kitendo cha kuungua mfululizo kwa shule za kiislam, ingekuwa vimeungua vituo vya polisi, chanzo pamoja na wahusika wangelijulikana mapema sana na tayari wangelikuwa wamo ndani.

Lakini kwa kuwa suala hili 'haliwahusu', upelelezi usiokuwa na mwisho unaendelea na utaendelea bila kikomo na mwisho wa siku kwa majaliwa ya Mungu tutakaa tusahau.

Haya mambo yenye sura ya kigaidi hayafai kuchukuliwa kilelemama hata kidogo.

Ya Kibiti na Amboni, mwanzo yalichukuliwa kama hivi wanavyofanya sasa hadi donda lilipoanza kuwa donda ndungu lisilo tibika ndiyo wakaanza kushituka, hata hivyo walikuwa tayari wamekwisha kuchelewa!

Walichelewa kwa sababu polisi kama polisi, jinsi lilivyokuwa limeota mizizi jambo hilo, hawakuliweza tena hadi walipopiga 'mwano' wakaja kusaidiwa na Jwtz na 'vyombo vingine' kutekeleza majukumu yao!

Sasa na hili wasipochukua hatua madhubuti kwa kuona kama si lao, watatumia nguvu kubwa sana kulimaliza na kupelekea vyombo vingine kuwajibikia masuala yasiyo yao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam! Nawasalimu kwa mujibu wa Imani zetu na zenu
Modes mkipenda futeni tu huu uzi.
Hili suala la kuungua mara kwa mara shule za ndugu zetu Waislam lishakuwa hatari na huko tuendako linatishia usalama wa watanzania wote. (Kumbuka shule wanasoma watanzania wa itikadi na imani zote).

Kuna kitu kinaumiza sana akili ambacho naona kipo nyuma ya hili suala. Jambo la kusikitisha ni kwamba, kila viongozi wa Bakwata wanapotoa /anapotoaTamko lolote lile la kuegemea serikali lazima shule iingue, natoa mfano;

Wakati Shekhe wa mkoa Pendwa alipotoa tamko kwagongo wa kamati ya maadili ya dini kuhusu viongozi wote wa kidini kutoa tamko la kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa, tuliona shule kule Bukoba ikiungua na kuua watoto wasio na hatia 10. Serikali haikuchukulia uzito wala mkulu kusitisha kampeni kwa siku moja angalua kuonyesha masikitiko badala yake alisema ticha aachiwe huru.

Juzi baada ya shekhe wa mkoa uleule pendwa kutoa tamko la kuwakemea na kuwafunga mdomo wale wanaomsema kiongozi mpendwa kwenye mimbari na kuwakemea tumeona shule ya huko Tabora ikiwaka moto. Sijaona leo siku nzima serikali ikitoa tamko badala yake Polepole ameitisha press na kusema Lissu ni msukule akisindikizwa na NEC kumuita Lissu mahakami kule Dodoma kujibu mashtaka ya NEC.

Jambo hili linahusu waislam wenyewe. Wasipokaa chini watatuangamiza sisi wote na watoto wetu. Naomba BAKWATA na makundi wengine wakae chini waachane na siasa na kujenga amani kwenye taasisi zao na kuinusuru nchi. Pia mamlaka ndani ya Waislam wamuonye shekhe wa mkoa pendwa aache siasa afundishe dini. Bila hivyo kila siku haya yatakuwepo na hakuna atakayepona.

Wasalaam Usiku mwema. Yanga Imara.
Yuko busy na chama
IMG_20200926_152400.jpeg
 
Back
Top Bottom