MKJJ;Nguzo kuu ya umasikini Tanzania ni mentality,ni mambo ambayo yanatia huruma ukiafikiria kwa undani zaidi...Mwalimu aliliona tatizo hilo mapema sana,na ndio maana na yeye akaja na siasa za ujamaa na kujitegemea,ile mentality ya kwamba "Hatuwezi" "Sisi ndivyo tulivyo" nk ndivyo vilivyomfanya atake kupambana na ile mentality ya kuomba omba na imani kwamba we can't do nothing,na kwasababu siasa zake zile zilikufa,kukawa na loophole,na sasa siasa zimekuwa kama michezo ya kipuuzi kwasababu as a nation hatuna vision wala mission.
Utani convince vipi kwamba tunaomba ili tuendelee?Kuna kiongozi wetu ambaye ameonyesha kuwa ana nia ya kuwazindua wananchi kwamba they can determine their future and that the can make a difference?kwamba their success is within their capacity?Mentality ya kuomba omba inawapumbaza wananchi na kuona kweli hatuna kitu,na wakati in reality rasilmali zinauzwa kwa bei chee.
Na kwahivyo basi mapambano haya ya kifikra yanahusisha kampeni mahsusi yatakayo ignite mapinduzi ya kijamii na kifikra,wananchi wajuwe kuwa wana uwezo wa kuwawajibisha viongozi wenye ku act against the National interests.Tuna wanasiasa wazalendo lakini hawajui namna ya kudeal na issue hii,mwalimu alikuwa ni mtanzania,na alikuwa ni mpigania uhuru,hilo tu lingetosha yeye kutangaza tu kwamba anagombea na wananchi wampigie kura,lakini haikuwa hivyo,alienda kijiji by kijiji kata by kata,siku hizi hata hao ambao ndio wazalendo wameishia kwenye press conference tu,hakuna massive campaign to reach the people,ile ya ki "uhuru uhuru"na kwasababu ya mixture ya vyombo vya habari vya mafisadi vikiwemo,basi wananchi are totally confused na sidhani kama wanajuwa tofauti wanapoangalia hayo vs ze comedy...Kujua kuwa kipi ni comedy na kipi real...Wafanye kampeni waondoke huko maofisini,kampeni ya kuwaelimisha wananchi,kwamba we need change in direction and in the way we think,and that yes we can....Wananchi hawajui connection ya umasikini na uamuzi wao kwenye sanduku la kura kwasababu si wanaambiwa sisi ni masikini to begini with?Sasa kama kazi yetu kuomba omba unataka wasimchaguwe mtu mwenye personality ya JK?Wananchi hawajui kulinganisha ufanisi wa uongozi na impact yake kwenye maisha yao either a kila siku ama hata ya generation to generation.