Salam wakuu,
Mimi ni mjasiliamali, hivi karibuuni nikiwa katika harakati zangu za kujigomboa na umaskini, nimekutana na fursa nzuri, ambayo itawahusisha bank na hao wateja!! Sasa nnachoomba wakuu mnisaidie jinsi ya kulifikisha wazo langu kwa wahusika wakuu. Mimi ningependa sana kuliuza wazo hili, kwa bank ya crdb. Please msiniuluze kwa nn crdb? manake itabidi nianze maelezo mengine, ila kwa ufupi ni kwa sababu ndo bank ya kizalendo nnayoiona inajitahidi kwenda na wakati kwenye kila nyanja za huduma zake... niliwaza kuwaona ma branch manager wa banks zilizo karibu nami, ila naogopa kupigwa juu kwa juu!! Mwisho una shangaa wazo linafanyiwa kazi, branch manager kapandishwa cheo, wewe hakuna hata anaekujuwa!!! Tafadhali nisaidieni connection za kulifikisha wazo kwa wakubwa ikiwezekana kwa Mr, Kimei mwenyewe. Pia naomba ieleweke kwamba ni wazo la biashara ambalo litainufaisha bank na wananchi wahusika. Ikitokea crdb hawatalikubali, basi ntarudi kuwataarifu na kuomba tena mnisaidie connection kwa bank nyingine. Ila naamini lazma crdb walikubali. Natanguliza shukrani za dhati, ndimi katika kujikwamua na umaskini.
Dada Tully.
Mimi ni mjasiliamali, hivi karibuuni nikiwa katika harakati zangu za kujigomboa na umaskini, nimekutana na fursa nzuri, ambayo itawahusisha bank na hao wateja!! Sasa nnachoomba wakuu mnisaidie jinsi ya kulifikisha wazo langu kwa wahusika wakuu. Mimi ningependa sana kuliuza wazo hili, kwa bank ya crdb. Please msiniuluze kwa nn crdb? manake itabidi nianze maelezo mengine, ila kwa ufupi ni kwa sababu ndo bank ya kizalendo nnayoiona inajitahidi kwenda na wakati kwenye kila nyanja za huduma zake... niliwaza kuwaona ma branch manager wa banks zilizo karibu nami, ila naogopa kupigwa juu kwa juu!! Mwisho una shangaa wazo linafanyiwa kazi, branch manager kapandishwa cheo, wewe hakuna hata anaekujuwa!!! Tafadhali nisaidieni connection za kulifikisha wazo kwa wakubwa ikiwezekana kwa Mr, Kimei mwenyewe. Pia naomba ieleweke kwamba ni wazo la biashara ambalo litainufaisha bank na wananchi wahusika. Ikitokea crdb hawatalikubali, basi ntarudi kuwataarifu na kuomba tena mnisaidie connection kwa bank nyingine. Ila naamini lazma crdb walikubali. Natanguliza shukrani za dhati, ndimi katika kujikwamua na umaskini.
Dada Tully.