KERO Kuuziwa bites ndani ya treni ya SGR ndio utaratibu mpya au wafanyakazi wameanza hujuma?

KERO Kuuziwa bites ndani ya treni ya SGR ndio utaratibu mpya au wafanyakazi wameanza hujuma?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
wakuu wikiendi inaenda?

Nakumbuka ilitoka list ya vitu unavyoruhusiwa kubeba na kuingia navyo ndani ya SGR, pamoja na vile ambavyo ukiingia unavikuta, yaani viburudisho.

Sasa kwanini tunalipishwa bites ambazo zinatakiwa kutolewa bure? Utaratibu umebadilika kuwa viburudisho ndani ya SGR vinauzwa?

Nilikuwa na safari ya Morogoro majuzi nikiwa na baadhi ya marafiki, tulikiwa tumetawanyika, baadhi yetu tuliuziwa bites wengine walipewa bure, ila wakati wa kurudi itakuwa wote tulihudumiwa na mhudumu mmoja maana wote tuliuzowa bites hizo.

Soma Pia: Utendaji wa Train ya SGR uboreshwe

Kwa pakiti moja ni elf 3,000 kama hulipii basi unarukwa! Sasa huduma ni ya bure ukishaingia kwenye tren kwanini tunauziwa tena?

Na tena ni Bussiness Class🤦🤦! Kazi kwekweli, kila mtu anajaribu kula kwa urefu wa kamba yake kila alipo, tutafika kweli!
 
Treni za umeme za majuu pia zina huduma za kulipia bites na meal ni kama Mambo ya fast jet.

Kwa experience yangu treni nilizopanda nje ya Tanzania Hakunaga mambo ya free meal kwenye train nyingi. Vyakula huwa wanauza.
HIzi ni zile bites Mkuu, siyo free meel ya kushiba, ambavyo waliweka wazi vitatolewa bure. Kama vinauzwa si tupewe utaratibu basi, kwanini kwengine watoe bure kwengine wauze?
 
HIzi ni zile bites Mkuu, siyo free meel ya kushiba, ambavyo waliweka wazi vitatolewa bure. Kama vinauzwa si tupewe utaratibu basi, kwanini kwengine watoe bure kwengine wauze?

Nahisi labda waliweka ofa kwa wale wanaolipia madaraja ya bei juu.

Maana mtu wa economy halipi nauli sawa na mtu wa business class
 
wakuu wikiendi inaenda?

Nakumbuka ilitoka list ya vitu unavyoruhusiwa kubeba na kuingia navyo ndani ya SGR, pamoja na vile ambavyo ukiingia unavikuta, yaani viburudisho.

Sasa kwanini tunalipishwa bites ambazo zinatakiwa kutolewa bure? Utaratibu umebadilika kuwa viburudisho ndani ya SGR vinauzwa?

Nilikuwa na safari ya Morogoro majuzi nikiwa na baadhi ya marafiki, tulikiwa tumetawanyika, baadhi yetu tuliuziwa bites wengine walipewa bure, ila wakati wa kurudi itakuwa wote tulihudumiwa na mhudumu mmoja maana wote tuliuzowa bites hizo.

Soma Pia: Utendaji wa Train ya SGR uboreshwe

Kwa pakiti moja ni elf 3,000 kama hulipii basi unarukwa! Sasa huduma ni ya bure ukishaingia kwenye tren kwanini tunauziwa tena?

Na tena ni Bussiness Class🤦🤦! Kazi kwekweli, kila mtu anajaribu kula kwa urefu wa kamba yake kila alipo, tutafika kweli!
Watanzania wacheni kulalamika katika kila jambo dogo AISEE.
Hadi bites mnalalamikia!!???
Wacheni kujiendekeza banaa badilikeni.
 
Watanzania wacheni kulalamika katika kila jambo dogo AISEE.
Hadi bites mnalalamikia!!???
Wacheni kujiendekeza banaa badilikeni.
Wewe kama unaona sawa unafunga tu mdomo na kupita kimya kimya Mkuu. Kama huduma unayolipia inajumuisha package fulani, uko entitled kupata kila kitu, nothing less. Hata sh 10 haitakiwi kuhujumiwa.

Tunashindwa kudemand unachostahili kwenye jambo dogo hivi, kwa mafisadi si kazi ipo🤦
 
Hii SGR ikiendelea kuendeshwa na hawa wenzetu walio serikalini na hawajawahi hata kuuza karanga itakufa kifo cha kawaida na UDART. Wafanyakazi wa umma hawana nidhamu wala uzalendo. Mama aibinafsishe haraka kwa makampuni yanayoweza hiyo biashara. Na hiyo kampuni isiwe ya wazawa.
 
Back
Top Bottom