Akibinafisisha mtaongea tenaHii SGR ikiendelea kuendeshwa na hawa wenzetu walio serikalini na hawajawahi hata kuuza karanga itakufa kifo cha kawaida na UDART. Wafanyakazi wa umma hawana nidhamu wala uzalendo. Mama aibinafsishe haraka kwa makampuni yanayoweza hiyo biashara. Na hiyo kampuni isiwe ya wazawa.
Hilo laweza kuwa ni nufaika la huo ubaradhuli.Wewe kama unaona sawa unafunga tu mdomo na kupita kimya kimya Mkuu. Kama huduma unayolipia inajumuisha package fulani, uko entitled kupata kila kitu, nothing less. Hata sh 10 haitakiwi kuhujumiwa.
Tunashindwa kudemand unachostahili kwenye jambo dogo hivi, kwa mafisadi si kazi ipo🤦
Wataongea wengine wasiojitambuaAkibinafisisha mtaongea tena
Kuongoza mtu mweusi ni kazi sana
Nijuavyo mimi huwa kila ofisi huwa na meneja je katika safari hiyo mwisho wake uliweza kuongea na meneja wa hicho kituo kumuuliza haya?wakuu wikiendi inaenda?
Nakumbuka ilitoka list ya vitu unavyoruhusiwa kubeba na kuingia navyo ndani ya SGR, pamoja na vile ambavyo ukiingia unavikuta, yaani viburudisho.
Sasa kwanini tunalipishwa bites ambazo zinatakiwa kutolewa bure? Utaratibu umebadilika kuwa viburudisho ndani ya SGR vinauzwa?
Nilikuwa na safari ya Morogoro majuzi nikiwa na baadhi ya marafiki, tulikiwa tumetawanyika, baadhi yetu tuliuziwa bites wengine walipewa bure, ila wakati wa kurudi itakuwa wote tulihudumiwa na mhudumu mmoja maana wote tuliuzowa bites hizo.
Soma Pia: Utendaji wa Train ya SGR uboreshwe
Kwa pakiti moja ni elf 3,000 kama hulipii basi unarukwa! Sasa huduma ni ya bure ukishaingia kwenye tren kwanini tunauziwa tena?
Na tena ni Bussiness Class🤦🤦! Kazi kwekweli, kila mtu anajaribu kula kwa urefu wa kamba yake kila alipo, tutafika kweli!
akili kama zako ndo ccmu wanataka raia wawe nayoWatanzania wacheni kulalamika katika kila jambo dogo AISEE.
Hadi bites mnalalamikia!!???
Wacheni kujiendekeza banaa badilikeni.
umeelewa thread kwanza ? walisema itakuwa hv lkn haiko hvAkibinafisisha mtaongea tena
Kuongoza mtu mweusi ni kazi sana
ukisafiri tena,ondoka nyumbani na bites zako wasikusumbue hao wagai gai.Basi waweke bayana tujue moja
Nadhani kwenye malalamiko tungeweka zaidi ya ile huduma yenyewe ya usafiri, ili tusikilizwe na kutatuliwa kwa haraka na huduma ya usafiri kuimarika.wakuu wikiendi inaenda?
Nakumbuka ilitoka list ya vitu unavyoruhusiwa kubeba na kuingia navyo ndani ya SGR, pamoja na vile ambavyo ukiingia unavikuta, yaani viburudisho.
Sasa kwanini tunalipishwa bites ambazo zinatakiwa kutolewa bure? Utaratibu umebadilika kuwa viburudisho ndani ya SGR vinauzwa?
Nilikuwa na safari ya Morogoro majuzi nikiwa na baadhi ya marafiki, tulikiwa tumetawanyika, baadhi yetu tuliuziwa bites wengine walipewa bure, ila wakati wa kurudi itakuwa wote tulihudumiwa na mhudumu mmoja maana wote tuliuzowa bites hizo.
Soma Pia: Utendaji wa Train ya SGR uboreshwe
Kwa pakiti moja ni elf 3,000 kama hulipii basi unarukwa! Sasa huduma ni ya bure ukishaingia kwenye tren kwanini tunauziwa tena?
Na tena ni Bussiness Class🤦🤦! Kazi kwekweli, kila mtu anajaribu kula kwa urefu wa kamba yake kila alipo, tutafika kweli!
the red one, could be my point.Kama watangaze kuwa bure kama ni uongo? Kwenye mabasi nauli ni zaidi ya hiyo na abiria wanapewa bites, kwahiyo point yako ni nini hasa?
Si kakwambia alipanda business na wewe..?😀😀😀 nauli 13,000 na bites pia unataka bure
Mzee, siku ukilipa 10k kununua luku wakakuletea unit 8 badala ya 28, utalalamika au hautalalamika..??Watanzania wacheni kulalamika katika kila jambo dogo AISEE.
Hadi bites mnalalamikia!!???
Wacheni kujiendekeza banaa badilikeni.
Sasa hii ilikuwa business class Mkuu
Wewe kama unaona sawa unafunga tu mdomo na kupita kimya kimya Mkuu. Kama huduma unayolipia inajumuisha package fulani, uko entitled kupata kila kitu, nothing less. Hata sh 10 haitakiwi kuhujumiwa.
Tunashindwa kudemand unachostahili kwenye jambo dogo hivi, kwa mafisadi si kazi ipo🤦
Pole ya kufungwa! Chukulia ni upepo tuItakua mwanzo ilikua ni makaribisho ya wateja na mambo ya upya wa safari...
Kwa sasa lipieni...
Wabongo unaweza kuwauzia kitu kwa bei chini ya operational cost, kwa government subsidy, halafu pia bado wakalalamika.Treni za umeme za majuu pia zina huduma za kulipia bites na meal ni kama Mambo ya fast jet.
Kwa experience yangu treni nilizopanda nje ya Tanzania Hakunaga mambo ya free meal kwenye train nyingi. Vyakula huwa wanauza.
Muwe makini sana na hivyo vyakula mnavyoletewa au kuuziwa humo kwenye treni, muwe waangalifu.wakuu wikiendi inaenda?
Nakumbuka ilitoka list ya vitu unavyoruhusiwa kubeba na kuingia navyo ndani ya SGR, pamoja na vile ambavyo ukiingia unavikuta, yaani viburudisho.
Sasa kwanini tunalipishwa bites ambazo zinatakiwa kutolewa bure? Utaratibu umebadilika kuwa viburudisho ndani ya SGR vinauzwa?
Nilikuwa na safari ya Morogoro majuzi nikiwa na baadhi ya marafiki, tulikiwa tumetawanyika, baadhi yetu tuliuziwa bites wengine walipewa bure, ila wakati wa kurudi itakuwa wote tulihudumiwa na mhudumu mmoja maana wote tuliuzowa bites hizo.
Soma Pia: Utendaji wa Train ya SGR uboreshwe
Kwa pakiti moja ni elf 3,000 kama hulipii basi unarukwa! Sasa huduma ni ya bure ukishaingia kwenye tren kwanini tunauziwa tena?
Na tena ni Bussiness Class🤦🤦! Kazi kwekweli, kila mtu anajaribu kula kwa urefu wa kamba yake kila alipo, tutafika kweli!