Kuvaa Dera sio kazi, kazi kulishikilia

Ndio yale yale ya kuhangaika kubeba gunia la kilo 100 wakati tunaweza kurahisisha mambo kwa kuwa na gunia la kilo 50.
Hatutumii akili zetu ipasavyo.
 
Sasa Dela bila Chura, sawa sawa na kujifunika Shuka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…