Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Sio tunga za kwako, acheni kuuwa watu kwa kisingizio cha kumpigania Allah.Wewe mwerevu tunga za kwako watu wazifuate simple tu kwani lazima kuingilia sheria zisizo kuhusu
Watu wanapoteza maisha kwa roho zenu mbaya.
Mnathaminije mitambala kuliko ubinadamu wa mtu.
Watu wamechoka na unyanyasaji wenu.