Kimolah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 562
- 762
Wanajamii f, leo naomba tuwekane sawa kuhusu mavaz ya night dress kwa wanawake, ni sahihi kwa mwanamke aliye kwenye ndoa kuvaa nguo wakat wa usiku tena suruali ya jinsi au vinginevyo kila siku kwa madai ni night dress? Je inaleta tija kwa mwanaume?
niliwahi sikia muuza gagulo za kulalia za wanawake anatangaza ... "gagulo za kulalia...kitu night-dress,... mwanamke unalala na jeans weeye komandoo??" .... labda huyo anayelala na jeans ni mmoja wa makomando!