Saa inatakiwa kuvaliwa mkono wa kushoto, hakuna hata saa moja iliyotengenezwa kwa design ya kuvaliwa mkono wa kulia hakunaBrother and sisters habari zenu.
Nimeangalia baadhi ya watu maarufu nimeona wanavaa saa mkono wa kulia.
Mfano Mzee Jakaya. Shafii Dauda. Afande mmoja jwtz mwenye rank ya Major General.
Kwa wajuzi wa masuala kuvaa saa mkono wa kulia ina toa tafsiri gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nimeuliza. Kuna tafsiri yoyote?Saa inatakiwa kuvaliwa mkono wa kushoto, hakuna hata saa moja iliyotengenezwa kwa design ya kuvaliwa mkono wa kulia hakuna
Ile sehemu ya kurekebisha saa kitu kama cha kuzungusha hivi kinakuwa upande wa kulia, hiyo ni ishara kwamba hiyo saa ni kuvaliwa mkono wa kulia full stop, hakuna saa iliyo kinyume na hiyo design.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu ujaribu kuvaa mkono wa kushoto.Mile tangu naanza kuvaa saa mkono wa kulia ukiniuliza sababu sijui
Acha kukariri maishaSaa inatakiwa kuvaliwa mkono wa kushoto, hakuna hata saa moja iliyotengenezwa kwa design ya kuvaliwa mkono wa kulia hakuna
Ile sehemu ya kurekebisha saa kitu kama cha kuzungusha hivi kinakuwa upande wa kulia, hiyo ni ishara kwamba hiyo saa ni kuvaliwa mkono wa kushoto full stop, hakuna saa iliyo kinyume na hiyo design.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia hata pete ya ndoa nivalia kulianadhani ni mazoea tu,mi pia navaa mkono wa kulia
nadhani u left ndo jibu sahihi iam left too!!