Babafetty
Senior Member
- Nov 11, 2013
- 107
- 108
habar wadau,
nina gari aina ya starlet, nlinunua kwa mtu, muda kidogo umepita, injini yake iko poa, ila katika cylinder head katika vile vimrija kama pameungwa na bigijii ngumu hv,(nahis gari ilichemka akafungua injini) sasa ktk maungio hayo huwa kuna injini oil inatoka kwa mbali hasa nkienda mwendo mrefu.
je naweza kutatuaje tatzo hilo?
ni madhara gan yanaweza jitokeza km ntaendelea kutumia gari ikiwa katika hali hii?
nina gari aina ya starlet, nlinunua kwa mtu, muda kidogo umepita, injini yake iko poa, ila katika cylinder head katika vile vimrija kama pameungwa na bigijii ngumu hv,(nahis gari ilichemka akafungua injini) sasa ktk maungio hayo huwa kuna injini oil inatoka kwa mbali hasa nkienda mwendo mrefu.
je naweza kutatuaje tatzo hilo?
ni madhara gan yanaweza jitokeza km ntaendelea kutumia gari ikiwa katika hali hii?