Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Katika mtihani uliofanywa mwaka huu Pale Law School Tanzania na Wanafunzi 633, wanafunzi 26 pekee wamefaulu Kwa Maana ya first seating
Wanafunzi Wengi mwaka huu wamefail sana katika Shule kuu ya Sheria [Law School].
Wadau wanalalamikia mifumo wakitaka uchunguzi ufanyike.
PIA uongozi wa chuo umebainisha sababu za wengi kufeli na wameeleza mipango iliyopo Sasa.
265, ni idadi ya wanafunzi wa Shule kuu ya Sheria [Law School] waliofeli [Disco] na kukatiza masomo.
Huku 342 wakitakiwa kurudia mitihani [Sup].✍🏼_
Wanafunzi Wengi mwaka huu wamefail sana katika Shule kuu ya Sheria [Law School].
Wadau wanalalamikia mifumo wakitaka uchunguzi ufanyike.
PIA uongozi wa chuo umebainisha sababu za wengi kufeli na wameeleza mipango iliyopo Sasa.
265, ni idadi ya wanafunzi wa Shule kuu ya Sheria [Law School] waliofeli [Disco] na kukatiza masomo.
Huku 342 wakitakiwa kurudia mitihani [Sup].✍🏼_