Kuvuka mtihani wa Uwakili ni balaa LST

Kuvuka mtihani wa Uwakili ni balaa LST

Taaluma ya sheria ife? Uko serious mkuu?

Hii ndiyo taaluma pekee ambayo ni ya kudumu duniani kwakuwa inaingia kwenye maeneo mengi ya ulimwengu wa leo.

Kuna baadhi ya nchi ili usome sheria basi lazima kwanza uwe na degree ya fani yoyote. Hadi hapo huoni umuhimu wake?
Ok sorry namaanisha uwakili wa kujitegemea kiasi kikubwa utashek.
 

Nimeona watu wengi sana wakiilaumu Shule ya Sheria Tanzania lakini kuna kitu kimoja wanakisahau.

Kufeli kwa wanafunzi wote hao 265 kuna sababu nyingi, lakini wengi wanasahau mtindo uliopo sasa hivi katika vyuo vingi Tanzania. Mtoto akishachaguliwa kujiunga na chuo ni lazima atamaliza na kuzawadiwa degree yake. Kuna vyuo hasa hivi vya Private mwalimu ukimark mitihani na ukaona kabisa huyu mtoto hana uwezo na ukambebesha somo, unakuja kuambiwa rekebisha matokeo watoto waende.

Wakiona watoto wengi wanafeli, unaulizwa hawa wote wakifeli wewe tutakulipa kwa pesa gani?

Elimu biashara imeharibu sana mfumo wetu wa elimu hapa nchini.

Kiufupi watoto wengi sana siku hizi wanazawadiwa degree huko vyuoni kwasababu mbalimbali.
Fact
 
Mkuu ukishaingiza SIASA kwenye elimu we tegemea majanga. Ni swala la muda tu, utasikia wanasiasa wataingilia kati na hiyo law school ama itafutwa au watashinikizwa walegeze mitihani.

Iko hivi, nchi yetu ilipanua magoli kuanzia elimu ya msingi, sekondari na A-level. Ikafika wakati watu wanafaulu shule ya msingi huku hawajui kusoma wala kuandika! Watu hao wakaingia sekondari na magoli yakapanuliwa tena ili wapite tupate "numbers" za kutamba kwenye kampeni.

Sasa watoto hao walipofika vyuoni ikawa ni majanga, ikabidi serikali tena iingilie kati na kuanza kutishia kufunga vyuo au kuwafukuza/tishia walimu ambao masomo yao wanafunzi wanafeli. Sasa hao vilaza ndio wamefika level za law school, CPA nk na as usual ili kutatua tatizo serikali itaingilia kati kupanua magoli ili hao watu wapite!
Mkuu, watu hawajui uhalisia wa wanafunzi wanaomaliza Degree na wengine hata Masters kipindi hiki. Vijana wanapewa tu hivyo vyeti ni watupu mno kichwani. Unamkuta mtu ana Masters ila katika kitu hicho hicho alichosoma ukimuuliza swali jepesi tu ni lazima akimbilie Google.

Kiufupi, watu wanachukulia kama ni roho mbaya lakini tuna watu wengi sana wenye Degree ambazo hawakustahili hata kufika mwaka wa pili, walipaswa kudisco kuanzia mwaka wa kwanza huko vyuoni.

Siasa haikupaswa kabisa kuingizwa katika elimu, tulikosea sana. Pia elimu haikupaswa kabisa kuwa biashara, tulikosea sana. Huwezi kufanya elimu biashara halafu utegemee wamiliki wa hivyo vyuo au shule wasifanye sarakasi zote ili kupata wanafunzi.

Suluhisho pekee kwa elimu yetu ni kukomesha biashara ya elimu.
 
We subiri miaka miwili mingi utaanza kusikia wanafunzi wote waliojiunga TLS wamefaulu kwa alama za juu 😃
Mkuu, watu hawajui uhalisia wa wanafunzi wanaomaliza Degree na wengine hata Masters kipindi hiki. Vijana wanapewa tu hivyo vyeti ni watupu mno kichwani. Unamkuta mtu ana Masters ila katika kitu hicho hicho alichosoma ukimuuliza swali jepesi tu ni lazima akimbilie Google.

Kiufupi, watu wanachukulia kama ni roho mbaya lakini tuna watu wengi sana wenye Degree ambazo hawakustahili hata kufika mwaka wa pili, walipaswa kudisco kuanzia mwaka wa kwanza huko vyuoni.

Siasa haikupaswa kabisa kuingizwa katika elimu, tulikosea sana. Pia elimu haikupaswa kabisa kuwa biashara, tulikosea sana. Huwezi kufanya elimu biashara halafu utegemee wamiliki wa hivyo vyuo au shule wasifanye sarakasi zote ili kupata wanafunzi.

Suluhisho pekee kwa elimu yetu ni kukomesha biashara ya elimu.
 
Taaluma ya sheria ife? Uko serious mkuu?

Hii ndiyo taaluma pekee ambayo ni ya kudumu duniani kwakuwa inaingia kwenye maeneo mengi ya ulimwengu wa leo.

Kuna baadhi ya nchi ili usome sheria basi lazima kwanza uwe na degree ya fani yoyote. Hadi hapo huoni umuhimu wake?

Hajielewi huyo.

Sheria ipo hadi kiama.
 
We subiri miaka miwili mingi utaanza kusikia wanafunzi wote waliojiunga TLS wamefaulu kwa alama za juu 😃
Kama hao ambao wapo sokoni tayari baadhi yao wanasumbua wateja na hawajui vitu vingi, vipi wakiamua kuingiza siasa na kufaulisha kundi lote hilo la hao wanaotoka kwenye vyuo vya kupeana marks si wananchi wataumia sana?

Binafsi napendekeza, vyuo viwekeze katika kupika watu makini, watu watoke wameiva. Kati ya hao 265 waliofeli ni wachache sana ambao wamefeli kwa sababu za kimtihani, kwa wale mliosoma mnajua kabisa unaweza kuamka vibaya na ukaharibu mtihani. Wengi hapo ni kwasababu hawakupikwa huko vyuoni.

Malalamiko ya watu kufeli sana kwenye hiyo shule sio mapya, na hiyo ndio sifa na sababu ya ubora wa hiyo shule.

Mimi kijana wangu nilimshauri asiombe kujiunga na chuo ambacho wanafunzi wanaanza 200 na wanamaliza 200, wote wanapata degree, kwa Tanzania hii, hicho sio Chuo.

 
Mkuu, watu hawajui uhalisia wa wanafunzi wanaomaliza Degree na wengine hata Masters kipindi hiki. Vijana wanapewa tu hivyo vyeti ni watupu mno kichwani. Unamkuta mtu ana Masters ila katika kitu hicho hicho alichosoma ukimuuliza swali jepesi tu ni lazima akimbilie Google.

Kiufupi, watu wanachukulia kama ni roho mbaya lakini tuna watu wengi sana wenye Degree ambazo hawakustahili hata kufika mwaka wa pili, walipaswa kudisco kuanzia mwaka wa kwanza huko vyuoni.

Siasa haikupaswa kabisa kuingizwa katika elimu, tulikosea sana. Pia elimu haikupaswa kabisa kuwa biashara, tulikosea sana. Huwezi kufanya elimu biashara halafu utegemee wamiliki wa hivyo vyuo au shule wasifanye sarakasi zote ili kupata wanafunzi.

Suluhisho pekee kwa elimu yetu ni kukomesha biashara ya elimu.
Naked truth
 
Naona wasiyojua Law School wanachambua wasichokitambua.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
 
Naona wasiyojua Law School wanachambua wasichokitambua.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
Asante mkuu, umevunja mzizi wa fitna
 
Naona wasiyojua Law School wanachambua wasichokitambua.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
👏👏👏👏nlikuwa sjawah elewaga hizi secret big up san mr
 
Siwezi kushangaa mafuriko ya kufeli huko law school ukizingatia hivi vyuo vya mwendokasi vilivyozalishwa na loan board......kwa sasa vijana wanasoma kinyanya nyanya sana kwenye vyuo vya kimayai mayai.....
 
Huo ndiyo mtihani wa kiume,siyo haya madegree ya kijinga yanayozagaa mitaani,wengine hawajui chochote,hawana tofauti na wanafunzi wa darasa la 7
 
Nimeona mada za kuchambua taarifa ya kufeli kwa wanafunzi Law School of Tanzania.


Binafsi na mimi nimepitia Law School, na haya ndiyo ninayoyafahamu kuhusiana na hiki chuo.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
 
Naona wasiyojua Law School wanachambua wasichokitambua.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
Kwann vtu vya miaka minne unasoma for only few months at law school?????[emoji848][emoji848][emoji848], Bado hujajiuliza???

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, watu hawajui uhalisia wa wanafunzi wanaomaliza Degree na wengine hata Masters kipindi hiki. Vijana wanapewa tu hivyo vyeti ni watupu mno kichwani. Unamkuta mtu ana Masters ila katika kitu hicho hicho alichosoma ukimuuliza swali jepesi tu ni lazima akimbilie Google.

Kiufupi, watu wanachukulia kama ni roho mbaya lakini tuna watu wengi sana wenye Degree ambazo hawakustahili hata kufika mwaka wa pili, walipaswa kudisco kuanzia mwaka wa kwanza huko vyuoni.

Siasa haikupaswa kabisa kuingizwa katika elimu, tulikosea sana. Pia elimu haikupaswa kabisa kuwa biashara, tulikosea sana. Huwezi kufanya elimu biashara halafu utegemee wamiliki wa hivyo vyuo au shule wasifanye sarakasi zote ili kupata wanafunzi.

Suluhisho pekee kwa elimu yetu ni kukomesha biashara ya elimu.
Dah.. Mercy... Mercy... Mercy..

Unapiga kwenye mshono haswaa.

Degree za vilaza tu.. Hovyo sana.. Hadi haina ladha kufanya midahalo ya maana na hao vijana.

Kwenye general knowledge ndio watupu kabisa..
 
Nimeona mada za kuchambua taarifa ya kufeli kwa wanafunzi Law School of Tanzania.


Binafsi na mimi nimepitia Law School, na haya ndiyo ninayoyafahamu kuhusiana na hiki chuo.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
Unapoambiwa uandae Hati za mashtaka au ubaini Makosa ya Hati Fulani za mashtaka ,is that not practice???, Kwan practice n field tu???, Kwan kujua defectiveness ya Charges sio practice?, How do Preliminary Objections in regards to charges come from?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwisho wa siku tukubali uhalisia kuwa Kuwa WAKILI kunahitaji uthibitisho wa kukufanyia kazi kile ulichofunzwa Darasani huko

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom