Kuvuma kwa watoto wa Marais Awamu ya Nne na ya Sita Taasisi ya Urais haioni kama inatia aibu?

Kuvuma kwa watoto wa Marais Awamu ya Nne na ya Sita Taasisi ya Urais haioni kama inatia aibu?

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Siyo kwa lengo baya wala majungu, fitina, chuki , husuda n.k.! Kwenye utawala wa Kikwete jina la Ridhiwani lilivuma mno lakini likiegemea zaidi upande hasi! Yaani ilitengenezwa picha kwamba mtoto ni bonge la fisadi!

Pia kwenye utawala wa Samia kuna jina la Abdul limeshika hatamu kwenye kila nyanja! Jina linavuma kwenye upande hasi! Yaani unatengenezewa picha mpaka unaogopa!

Najua siasa ni mchezo mchafu iwe kwenye nchi zilizoendelea na zisizoendelea! Inawezekana maadui na mahasimu wao wa kisiasa wanachezesha kete!

Sitaki kufahamu kama ni kweli au si kweli, ila huwa naona kama taasisi ya urais huwa kama inachafuka mno na kutia aibu!

Wazazi wao huwa hawalioni hili? Washauri wao huwa hawalioni hili? Watoto wenyewe huwa hawalioni hili? Wanaolinda hadhi ya taasisi huwa hawalioni hili?

Naomba nikumbushwe na kusahihishwa kama mtoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli walivumishwa sana kama hawa wawili! Kwa Mwinyi mke alivuma sana!

Nb: Ni mtazamo tu, lete wa kwako!
 
Jesca nae alivuma pia,lakini si kwa mtazamo hasi,lakini ukija kwa hao wengine hata ingekuwa wewe baba yako au mama yako ni Rais wa nchi utaishije kiboya?

Watoto wa wafanyakazi wa kawaida tu kwenye taasisi za umma hasa hawa wakurugenzi n.k wana maisha ya kufuru.

Tuache wivu ....
 
Siyo kwa lengo baya wala majungu, fitina, chuki , husuda n.k.! Kwenye utawala wa Kikwete jina la Ridhiwani lilivuma mno lakini likiegemea zaidi upande hasi! Yaani ilitengenezwa picha kwamba mtoto ni bonge la fisadi!

Pia kwenye utawala wa Samia kuna jina la Abdul limeshika hatamu kwenye kila nyanja! Jina linavuma kwenye upande hasi! Yaani unatengenezewa picha mpaka unaogopa!

Najua siasa ni mchezo mchafu iwe kwenye nchi zilizoendelea na zisizoendelea! Inawezekana maadui na mahasimu wao wa kisiasa wanachezesha kete!

Sitaki kufahamu kama ni kweli au si kweli, ila huwa naona kama taasisi ya urais huwa kama inachafuka mno na kutia aibu!

Wazazi wao huwa hawalioni hili? Washauri wao huwa hawalioni hili? Watoto wenyewe huwa hawalioni hili? Wanaolinda hadhi ya taasisi huwa hawalioni hili?

Naomba nikumbushwe na kusahihishwa kama mtoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli walivumishwa sana kama hawa wawili! Kwa Mwinyi mke alivuma sana!

Nb: Ni mtazamo tu, lete wa kwako!
Mchengerwa ni mkwe wa Rais, mchango wa harusi anachangia million 20.

Huyo Abdul kuna watu walikuwa wanaomponda anauza matairi kariakoo livingstone sasa wacha awanyooshe na yeye.
 
Siyo kwa lengo baya wala majungu, fitina, chuki , husuda n.k.! Kwenye utawala wa Kikwete jina la Ridhiwani lilivuma mno lakini likiegemea zaidi upande hasi! Yaani ilitengenezwa picha kwamba mtoto ni bonge la fisadi!

Pia kwenye utawala wa Samia kuna jina la Abdul limeshika hatamu kwenye kila nyanja! Jina linavuma kwenye upande hasi! Yaani unatengenezewa picha mpaka unaogopa!

Najua siasa ni mchezo mchafu iwe kwenye nchi zilizoendelea na zisizoendelea! Inawezekana maadui na mahasimu wao wa kisiasa wanachezesha kete!

Sitaki kufahamu kama ni kweli au si kweli, ila huwa naona kama taasisi ya urais huwa kama inachafuka mno na kutia aibu!

Wazazi wao huwa hawalioni hili? Washauri wao huwa hawalioni hili? Watoto wenyewe huwa hawalioni hili? Wanaolinda hadhi ya taasisi huwa hawalioni hili?

Naomba nikumbushwe na kusahihishwa kama mtoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli walivumishwa sana kama hawa wawili! Kwa Mwinyi mke alivuma sana!

Nb: Ni mtazamo tu, lete wa kwako!
Chuki zenu kila anaokuwa kiongozi muislam
 
Chuki zenu kila anaokuwa kiongozi muislam
Inaonekana waislamu Urais wao unakuwa na ubia na watoto wao.

Hata ukifuatilia nchi za Kiarabu kwa role model wenu ujinga ni huu huu, kwa kifupi malezi ya watoto wa kiume yanawashinda na hamjui separate of power.

Mzee Mwinyi aliliweza hilo ila mke wake ndio alitumika na manyang'au kuibia nchi.
 
Siyo kwa lengo baya wala majungu, fitina, chuki , husuda n.k.! Kwenye utawala wa Kikwete jina la Ridhiwani lilivuma mno lakini likiegemea zaidi upande hasi! Yaani ilitengenezwa picha kwamba mtoto ni bonge la fisadi!

Pia kwenye utawala wa Samia kuna jina la Abdul limeshika hatamu kwenye kila nyanja! Jina linavuma kwenye upande hasi! Yaani unatengenezewa picha mpaka unaogopa!

Najua siasa ni mchezo mchafu iwe kwenye nchi zilizoendelea na zisizoendelea! Inawezekana maadui na mahasimu wao wa kisiasa wanachezesha kete!

Sitaki kufahamu kama ni kweli au si kweli, ila huwa naona kama taasisi ya urais huwa kama inachafuka mno na kutia aibu!

Wazazi wao huwa hawalioni hili? Washauri wao huwa hawalioni hili? Watoto wenyewe huwa hawalioni hili? Wanaolinda hadhi ya taasisi huwa hawalioni hili?

Naomba nikumbushwe na kusahihishwa kama mtoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli walivumishwa sana kama hawa wawili! Kwa Mwinyi mke alivuma sana!

Nb: Ni mtazamo tu, lete wa kwako!

Tatizo kubwa la awamu hii, ni kuufanya Urais mradi binafsi wa familia. Fikiria anasafiri na mama yake kwa gharama ya serikali kwenye ziara za kiserikali, anakuwa kwenye hiyo ziara kwa authority gani?

Fikiria anatumwa kwenda kuzungumza na Rais Museveni masuala ya umeme, kama nani?

Fikiria anaambatana na RA kwenye mijadala ya DP na uuzwaji wa rasilimali mbalimbali za nchi? Kimsingi huyo Abdu na RA ndiyo madalali wakubwa wa kuuza rasilimali za nchi. Wanatangulia kuandaa kila kitu, mama akija ni kuidhinusha tu.

Katika tawala zote, hata ile ya Kikwete, familia haikuitumia nafasi ya mzazi kwa manufaa binafsi kwa kiwango kikubwa kama ilivyo kwa huyu wa sasa.
 
Inaonekana waislamu Urais wao unakuwa na ubia na watoto wao.

Hata ukifuatilia nchi za Kiarabu kwa role model wenu ujinga ni huu huu, kwa kifupi malezi ya watoto wa kiume yanawashinda na hamjui separate of power.

Mzee Mwinyi aliliweza hilo ila mke wake ndio alitumika na manyang'au kuibia nchi.
Marais wa wakiristo watoto sana wanakuwa walevi,wavuta bangi na wacheza kamari, waislam watoto wao wanakuwa wasomi. unadhani nini kitatokea?
 
Punguzeni wivu. Mimi nilikuwa mtoto wa mwalimu mkuu lakini Hadi mwalim mkuu msaidizi alikuwa ananigwaya.

Walimu wote walikuwa wanakunywa chai nyumbani Kwa viazi waliolima kwenye shamba la shule. Bro aliyekuwa sekondari alikuwa anawala sana "mamadamu".

1. Hata Makongoro anajiamini, anaweza kuropoka hata mbele ya majaliwa , na majaliwa anacheka tu. Nani mkuu wa mkoa mwingine anaweza kuropoka?

2. Maluma, huyu mawaziri anawaona wa kawaida sana SI kwakuwa yeye alikuwa waziri isipokuwa baba yake alikuwa waziri.

3. Mongera, mwamba huvaa makapelo hata mbele ya presidaa lakini hayupo wakumvua. Ni Kwa kuwa mama yake getruda ni kigogo wa zamani.
4. MwanaJF p mayalla Huwa anawazingua mawaziri na vigogo sio Kwa kuwa ni mwandish na mwanasheria isipokuwa ni mtoto na kaka wa watu wasiojulikana.

5. Niliwahi kufanya usaili kampuni X, CEO alikuwa anachukua dawa aka ndumba Kwa mjomba. Nilikuwa najibu Kwa kujiamini hatari na baada ya usaili nikaambiwa na ps wa CEO nikaanze kazi kitengo y.

Magoti father oyeeee
 
natamani ningekuwa mjumbe wa mkutano mkuu itakuwa burudani kwelikweli. kwa mara ya kwanza watu watageukana.
 
Hapana mkuu, tatizo we kila issue unaitazama kwa jicho la udini...mleta mada alichokisema ni ukweli hata nafsi yako inajua hilo sema kama kawaida yako usharukia kwenye udini!.
hata unajua kuna harufu ya udini lakn unaona ukisema hivyo utakasirisha kanisa
 
Back
Top Bottom