Kuvuma kwa watoto wa Marais Awamu ya Nne na ya Sita Taasisi ya Urais haioni kama inatia aibu?

Mchengerwa ni mkwe wa Rais, mchango wa harusi anachangia million 20.

Huyo Abdul kuna watu walikuwa wanaomponda anauza matairi kariakoo livingstone sasa wacha awanyooshe na yeye.
😄

Ova
 
Pia kwenye utawala wa Samia kuna jina la Abdul limeshika hatamu kwenye kila nyanja! Jina linavuma kwenye upande hasi! Yaani unatengenezewa picha mpaka unaogopa!
Sijui hawa watu kama wanajua wana kiapo!
Sijui kwanini watoto wao wanakuwa na nguvu hadi kufanya hujuma kubwa kiasi hiki!
Mama SSH awe makini sana kwani na yale "mafisadi papa" yanamtumia sana mwanae kuleta uharibifu
 
... others are just careful!
... just before Abdul and Mom, somebody had his son abroad where a big chunk of our forex was stashed away into a private account!

TALK OF DOUBLE STANDARDS!
 
naona umekasirika, ukiambiwa ukweli inaonekana unauma
Hakuna ukweli wowote zaidi ya utoto uliokuwa nao kuwa muislam akikosolewa wewe badala ya kuhoji juu ya tuhuma kama ni za kweli au la unakimbilia kwenye kifuniko cha udini. Mbona maraisi Wakristo pia wamekosolewa sana tu.
 
Hawa wenzetu wa Pwani kwao huo ni ufahari!!!

Hawastahili kupewa nchi Hawa watu.

Halafu tazama wasivokaa ofisini kutwa kucha wapo angani tu halafu huku ardhini watoto wanakuwa Madalali
 
Naomba nikumbushwe na kusahihishwa kama mtoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli walivumishwa sana kama hawa wawili! Kwa Mwinyi mke alivuma sana!
Mpwa wa jiwe aitwaye Dotto James alikuwa paymaster general (alikuwa mshamba wahed).

Mpwa wa jiwe aitwaye Hery James alikuwa mwenyekiti UVCCM.

Mpwa wa jiwe aitwaye Furaha aliongoza kura za maoni Jimbo la Kawe (alikuwa hajui hata salaam za chama).

Jiwe alikuwa laana ya taifa.
 
Tatizo ni mila za Uswahili, mswahili hata akinunua gari ukoo mzima unajiona wamiliki wa gari na kutamba mitaani
 
нαтα ωαтσтσ мкαρα ωαиgαℓινυмα...ѕιᴊυι кωαиιиι нαωαкυтαкα кυνυмα! уα мυиgυ мєиgι...тυмωα¢нιє мυиgυ!

иα∂нαиι и∂ισ ωαтσтσ ωαиgєνυмα zαι∂ι!....кαмα ωαиgαℓιкυωєρσ!

кυℓιкυωα нαкυиα ωα кυкσяσмα єиzι zιℓє!... иσя тωιттєя(χ) иσя fєѕιвυкυ! єиzι ιℓє
 
K
Kwahiyo watoto wa Nyerere na Mkapa waliishi kiboya??????
 
Wavaa makobanzi?.
 
Ndio afrika tulivyo hatuna mipaka ya kazi

Mtu anapata kazi inakuwa ya ukoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…