Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
- Thread starter
- #301
nasikia Bujibuji Simba Nyamaume ilimkuta hii 🤣Mod wanatakiwa kuunganisha ID km zamani vile walikuwa wanaumbuaje watu. Huku anajifanya ke/kule me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasikia Bujibuji Simba Nyamaume ilimkuta hii 🤣Mod wanatakiwa kuunganisha ID km zamani vile walikuwa wanaumbuaje watu. Huku anajifanya ke/kule me
acha unafiki wewe mbona unashinda humu?toa tobo iloo.Mtu anaweza akaku quote kwa mambo ya kijinga
Au kuja PM na matusi
Na kusingiziwa tu mambo tukubwa tukubwa ila sasa utafanyaje.
True happiness haiko kwenye mitandao ya kijamii. Ukiona mtu kila kitu ni mitandaoni jua ana mental breakdown sema hataki tuu kukubali ukweli.
Mnasifia na kuwabeba ndio maana wanafanya kila kitu wasitoke kwenye reli.[emoji119]
[emoji23] mimi ntakuwa wakwanza kupost kazi zake ntahakikisha anaingia digito platifom zote
🤯🤯🤯⚽⚽⚽ DuuhKama si wanga sijui ni nini aisee.
mwachiluwi niajee?
Yesnasikia Bujibuji Simba Nyamaume ilimkuta hii 🤣
Nakazia....Mtu anaweza akaku quote kwa mambo ya kijinga
Au kuja PM na matusi
Na kusingiziwa tu mambo tukubwa tukubwa ila sasa utafanyaje.
True happiness haiko kwenye mitandao ya kijamii. Ukiona mtu kila kitu ni mitandaoni jua ana mental breakdown sema hataki tuu kukubali ukweli.
Mnasifia na kuwabeba ndio maana wanafanya kila kitu wasitoke kwenye reli.[emoji119]
kama kawaPoa vipi
huyohuyo
🤣🤣🤣Mimi uzi wa kinyesi kwa sasa napita mbali maana seriuos nikichangia huwa nina maandishi makali na wale machetani kwa sasa wana kigroup chao huwa wanaitana kukushambulia🤨
Ndio maana nilisema kuna mambo mengine ni kuyapotezea juu kwa juu. Kuamua kuwa neutral hakufanyi uwe muoga au mjinga. Kuna watu hawastahili attention hata kidogo hasa kwenye mambo ambayo huchangia uvunjifu wa sheria.Mtu anaweza akaku quote kwa mambo ya kijinga
Au kuja PM na matusi
Na kusingiziwa tu mambo tukubwa tukubwa ila sasa utafanyaje.
True happiness haiko kwenye mitandao ya kijamii. Ukiona mtu kila kitu ni mitandaoni jua ana mental breakdown sema hataki tuu kukubali ukweli.
Mnasifia na kuwabeba ndio maana wanafanya kila kitu wasitoke kwenye reli.[emoji119]
Dogo naona huamini 😂😂😂 jf mjini hapa
mumepata ukimwi Nini?mana nyie Malaya hatari.Nishatuma vitafunwa hapa ninywe na dawa mapema mapema.[emoji38][emoji38]
Leteni masikhara mods waziunganishe kweli 🤣🤣, hamuoni wako serious sana saiviI’d nyingine yangu nyingi si hii yako
stori yake nindefu sanaHuyu jamaa tulikuw wote kwenye nyuzi hata ile ya bb titans ndio maana sijamuona mda. Ila mwamba mbona hana ugomvi you think you know someone 🤣🤣🤣