Heheee it's gonna be lithuyohuyo
Trust me you don't wanna know Johnnie WalkerHeheee it's gonna be lit
Weeee bwana kweli noma sananasikia Bujibuji Simba Nyamaume ilimkuta hii 🤣
🤣🤣🤣unakuta mtu umechangia mada vzuri Alf anakuja anakutukana sanasana wanaume wa hapa ndani.
Ety anakuimbia na taarabu jamani
Hivi ukitype inapotelea wapiSomeone is typing naona yuko banned hajajijua. I wonder who it's 😄
Inauma kama umewekeza muda mwingi jf tofauti na hapo,oi unadunda tuu,mm kuna wakati nakaa hadi week sijaingia humuMasikini atakuwa analia huko aliko[emoji2] ban inauma[emoji2]
Kivipistori yake nindefu sana
Sasa wewe utanijuaje miye, au miye ntakujuaje wewe.🤯🤯🤯⚽⚽⚽ Duuh
Well said 👏👏Ndio maana nilisema kuna mambo mengine ni kuyapotezea juu kwa juu. Kuamua kuwa neutral hakufanyi uwe muoga au mjinga. Kuna watu hawastahili attention hata kidogo hasa kwenye mambo ambayo huchangia uvunjifu wa sheria.
nitabaniwa mkuu tafwazal ila mwana ni mboga huyoKivipi
Mmmh [emoji848][emoji848][emoji848][emoji849]Eeeeh si naniiii alisema ety naniiii alimpa connection ya naniiii yule mtoa naniiii.
Alaf naniiii jana alikua anatafuta naniiii na wale wote kweny ule uzi.
Bantu Lady anajua.
Si ndio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] analishwa vinono mpaka anaacha
Mmh somehow maana hizo comment zao zinafikirisha 🤔🤔🤔mnaukimwi nini?