Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Ndio kanunuliwa smartphone juzi baada ya kufaulu shule.Anakwaza balaa... Nadhani ni 1st yr ana kiraru cha smartphone mayb
Akikua ataacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kanunuliwa smartphone juzi baada ya kufaulu shule.Anakwaza balaa... Nadhani ni 1st yr ana kiraru cha smartphone mayb
.........umejitahidi, hongera, kakomenti ka leo karefurefu.....Bora nimepumzika ligi kuna kipindi ban ziliniandama
🤔ulitakiwa ujibu mambo yaishe
Hana baya akifa haoziNampenda shangazi basi tu😃
lishangazi mamboo?unahitaji kibenten?Anakwaza balaa... Nadhani ni 1st yr ana kiraru cha smartphone mayb
Sio kiraru kiroru kabisa uzuri hata mm sipendi ma feminist wa bonyokwa na hata ww hukuwahi kupendezwa na mimi kwanzia id yangu ya 1 mpaka hii ya 7 sasa hivyo chukua ustaarabu wa kuni ignore tu upite 👇👇👇👇👇 its that simpleAnakwaza balaa... Nadhani ni 1st yr ana kiraru cha smartphone mayb
Kuna siku ulinipa neno mpaka nikaumia moyo😃 masikini ya bure ulinionea
Tulia atafunguka yoteHapa nimetoka mweupe kama mchana wa saa sita🤣
KusomeaCUBAHapa nimetoka mweupe kama mchana wa saa sita🤣
Usimseme mtoto sana asije kususa kula ujue😂😆😆 simu ya muda hiyo dah😆
Dogo naona unakula airtime msimu huu ulale na lishangazi li moja la hukulishangazi mamboo?unahitaji kibenten?
Uzi gani huo?Ule uzi hata sikutaka kuufungua ila Haiti sababu ya watu kutoleana maneno machafu😄
nitavaa kondom kama tano hivi🤣🤣🤣Dogo naona unakula airtime msimu huu ulale na lishangazi li moja la huku
Chunga kuna super gonorrhea 😁😁😁
Upime na vitu vingine mkuuu hali ni tete watu wanatembea kama wana afya kumbe ni mizoganitavaa kondom kama tano hivi🤣🤣🤣
wengine wanakula njugu humu🤣🤣Upime na vitu vingine mkuuu hali ni tete watu wanatembea kama wana afya kumbe ni mizoga
Siwezi jibuulitakiwa ujibu mambo yaishe
dogo badilika acha ujinga sawa?
Usipende kufurahisha umati kwasababu zako binafsi ninyi ndio mnafosi watu wawe wakali kuwa na mipaka broodogo badilika acha ujinga sawa?