Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Best achana nae huyo.Siwezi jibu
Usipende kufurahisha umati kwasababu zako binafsi ninyi ndio mnafosi watu wawe wakali kuwa na mipaka broo
utajua mwenyewe hata ukiwa mkaliSiwezi jibu
Usipende kufurahisha umati kwasababu zako binafsi ninyi ndio mnafosi watu wawe wakali kuwa na mipaka broo
wao ni wao usiniombee ban mtanikumbuka sana😃Wewe Gily na utani wako sijui kama utapona ila wakikubani nambie nikusaidie jinsi ya kuchati na kuposti kama kawaida .
yap mkuu.nimlavuzUnamtaka shangazi🤣
🤔🤯utajua mwenyewe hata ukiwa mkali
Sikuombei ban maana sitacheka kichwa chako unakielewa mwenyewe japo wakikuban mimi nitakudisban kwa njia za mkatowao ni wao usiniombee ban mtanikumbuka sana[emoji2]
Sijawah mchokoza mtu humu ndani[emoji2]
Duuuuu! Kumbe kufuta post ni kosa.?Sitasahau nilipigwa Ban ya miezi 7
View attachment 2579004
Siwezi jibu
Usipende kufurahisha umati kwasababu zako binafsi ninyi ndio mnafosi watu wawe wakali kuwa na mipaka broo
I love you so much my wifeNacheka kam mazuri mdogo wangu iloveLovelovie kwani huu uzi wa nini tena? Hata sijasoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtu akipigwa Ban anaanzishiwa uzi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😅😅😅😅😅
We fungua codes vizuri utaelewa tu vizuriJohnnie Walker na ronadoo acheni hizo pigo. Kwani mnagombea demu?
Unyonge ni mwiko 😂😂Hawa jamaa wanasifa sana, walichonifanyia jana nabaki kuwa msomaji
Uko sahihi, watu wamekuwa na ujinga mwingi.Cold wars in JF ckuiz zimekuwa nyingi sana,Mshana Jr alishasema ukitaka kuepuka ban humu Ni Bora uache kujibizana na watukanaji,Yaani mtu akianza matusi we unamlia buyu.
Bt ukijaribu kujibizana naye lazima ban itakuhusu.
Wanakera alafu unaomba msaada mapema wanapuuza, unaamua ufanye unachotaka wanakulamba banUnyonge ni mwiko 😂😂